Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu la Netflix Naija Kwanza. Nifungue link ya nini, wakati naona ni nini kinachoongelewa hapo. Naija first, huyo mkenya asiyemjua Idrriss hadi kuandika hivyo, ni naniiiiiiii !!! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
👇👇👇👇👇👇👇 jibu hili hapa
Lazma kuna figisu hua munafanya chini kwa chini kwani aliesema diamond ni mkenya alikua mtu kutoka wapi??🤣🤣🤣 tatizo lenu munafkiri hii ni dunia ya 90s mukidhani mutadanganya watu, sasa hvi wewe ukismamishwa na mtoto wa miaka miwili humdanganyi kitu
 
Lazma kuna figisu hua munafanya chini kwa chini kwani aliesema diamond ni mkenya alikua mtu kutoka wapi??🤣🤣🤣 tatizo lenu munafkiri hii ni dunia ya 90s mukidhani mutadanganya watu, sasa hvi wewe ukismamishwa na mtoto wa miaka miwili humdanganyi kitu
Kweli wewe akili ya utopolo, Diamond ameingilia wapi, unaandika post zilizotiwa error na wa Nigeria, unasema niza wakenya, ilimradi tu, uanze povu. Nishakunusa kitambo sana. 🤣🤣🤣
 
Usinibandikizie "hasira", hata sina, nipe jibu la post ya ile series ya Netflix ya Naija. Huyo mkenya aliyeandika ni nani? 😂
Jibu la Netflix Naija Kwanza. Nifungue link ya nini, wakati naona ni nini kinachoongelewa hapo. Naija first, huyo mkenya asiyemjua Idrriss hadi kuandika hivyo, ni naniiiiiiii !!! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tatizo lenu nyinyi munafkiri tanzania ni mhasimu wenu 😀😀😀 sio leo wala jana kenya mukitangaza kilimanjaro iko kwenu mara utaskia kigamboni bridge iko kenya mara utaskia diamond ni mkenya 😄😄😄 yani ni mambo mengi sana
 
Kweli wewe akili ya utopolo, Diamond ameingilia wapi, unaandika post zilizotiwa error na wa Nigeria, unasema niza wakenya, ilimradi tu, uanze povu. Nishakunusa kitambo sana. 🤣🤣🤣
Ndio nakupa ushahidi huwezi kwenda mbele kama nyuma hukupita najua unanielewa sana 🤣🤣🤣🤣🤣 nyinyi hamupendi kuona tanzania ikipata points lakini sasa dunia sio ile ya kumdanganya mtu akaamini
 
Ndio nakupa ushahidi huwezi kwenda mbele kama nyuma hukupita najua unanielewa sana 🤣🤣🤣🤣🤣 nyinyi hamupendi kuona tanzania ikipata points lakini sasa dunia sio ile ya kumdanganya mtu akaamini
Haya, kachukue ya wacongomeni pia uje useme ni ya wakenya!!! 🤣 🤣 🤣
 
Mambo ya Diamond siyajui, jibu swali kwanza, ka huwezi sema, usione aibu dogo! 🤣 🤣 🤣 🤣 Sitakusema! 🤣
Ni figisu za chini kwa chini kutoka kenya mbona hatuskii uganda wakifanya ujinga munaofanya nyinyi miaka yote?? Na kwann iwe tanzania tu kwann musidanganye na vya nchi nyingine🤣🤣🤣 punguwani wakubwa
 
Haya, kachukue ya wacongomeni pia uje useme ni ya wakenya!!! 🤣 🤣 🤣
Hehehe safarii hii kila kitu kimegonga mwamba 🤣🤣🤣🤣
E0A5FBB0-5F6A-45E6-BD94-F527884D6996.jpeg
 
Tatizo lenu nyinyi munafkiri tanzania ni mhasimu wenu 😀😀😀 sio leo wala jana kenya mukitangaza kilimanjaro iko kwenu mara utaskia kigamboni bridge iko kenya mara utaskia diamond ni mkenya 😄😄😄 yani ni mambo mengi sana
Hayo yote ni upuzi, na ka yupo aliyesema hivyo, basi labda anaishi kwenye mahandaki! 🤣
 
Kweli, sababu naona "NaijaonNetflix" bado sijapata kuona "TanzaniaonNetflix". 😂😂😂Tena hata usiende huo upande, sababu bado sana. Huyo Idriss awape exposure kwanza, mengine yatakuja baadaye! 🤣
Muna figisu za chini kwa chini nyinyi tunawajua vzr sana 😀😀😀 hata yule mwanadada mkenya aliekua ana hojiwa america akasema olduvai gorge iko kenya kwani ulikua unafkiri nn ??? 😃😃😃 na watu wakamuumbua akaomba samahani
 
Muna figisu za chini kwa chini nyinyi tunawajua vzr sana 😀😀😀 hata yule mwanadada mkenya aliekua ana hojiwa america akasema olduvai gorge iko kenya kwani ulikua unafkiri nn ??? 😃😃😃 na watu wakamuumbua akaomba samahani
TanzaniaonNetflix???😂 😂 😂 Pigeni makofi, Idriss amekuwa m'bongo wa kwanza ku feature kwenye Netflix movie basi! 🤣
 
Back
Top Bottom