ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mm nakwambia kilifi ni coast town ambayo economy yake inategemea tourism ukitoa basic ya fishing au nasema urongo ??🤣🤣🤣 kama leo hii unapost hotel appartments zinazolipiwa per night na mostly ni kwa ajili ya foreign tourists, wapi unakwama budaNaona wakenya wote sikuhizi wanatoka Kilifi, bora ushapata jibu. Alafu nikuulize hivi nyie vibaraka wa mtaani hukata 85 usd per night huko kwenyu? Basi hata mmemzidi beberu, dadeki. Walilia oh Nairobi, sasa angalia Kilifi, alafu hujui lolote, tuachie sisi wenye kuyakaa maeneo hayo. Nauona uchungu, usjali. 🤣🤣🤣
Bahat nzuri mm kilifi nimefika huna cha kunidanganya nimepita sana hapo nikiwa naelekea malindi yani ni town imechoka inatoa kamasi 😅😅😅😅