Naskia jamaa kapiga 4b ksh 🤣🤣🤣 ile wakenya hapana nimenyoosha mikono
Mm tangu nazaliwa nishawakataaga ndio maana nikazaliwa bongowewe ungeweza kwenda against mabeberu
Thanks.Mpaka sasa, tathmini yangu kwa mama naona ni mtu wa ku "lead from behind", hulka yake ni kutoonekana mshari kwenye jamii. Kama Rais mwenye jinsia ya kike siyo kitu cha kushangaza kuwa hivyo, wanawake wengi hupenda huendesha mambo nyuma ya pazia (image ni kila kitu). Ninachokiona ni yeye kuwaachia wasaidizi wake kuendesha nchi kwa mkono wa chuma, mfano tuliona waziri mkuu alivyofanya Dar, nchi hii haiendi bila mijeledi.
Pia mama anapenda kufuatilia mitandao (ila sikupenda yeye kulisema hili hadharani) hivyo kama kuna mambo hayaendi sawa watu wakilalalmika atasikia. Mfano tuliona alipofanya mabadiliko pale TPDC na hata alipofanyia kazi hoja ya mh Zungu. Kwa hiyo tusihuzunike sana, bado wengi waliofanikisha sheria zile za maliasili wapo, na system haiwezi kuacha mambo yarudi kule, kumbuka hata JK wazalendo walimzunguka kusaini Bagamoyo, mpaka akaondoka.
Hzo ni holiday rentals[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo tulijenga ili mtupangie purpose au sio [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji3545][emoji2781][emoji2781]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mh Balozi huwa anapambana kwa kweli, wengine huwa siwasikii...
umeamua kuuwa kabisa hii story ....noma sana
whaaaaat!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fumba Town, being built by Kenyans. Joke on you. Ama ulidhani Watanzania wanaweza come up na kitu kaa hii? Kawe City iko wapi?
wakenya miyeyusho nimecheka mpaka basiFumba town inajengwa na kampuni ya tanzania inaitwa sky city wewe usitudanganye hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1761897
View attachment 1761899
Sasa wewe ni mtu wa ajabu kweli 😂😂😂 au ni kichaa wewe, yani unabishana na vitu vilivyopo while we umeweka render, shame on youHazifikii. And remember Mombasa is our second biggest city while Dar is your number 1.
Mshikaji inaelekea una mawazo ya kiujima sana na in short unamchukia kwavile ni mwanamke na unaamini hataweza haha kabla ya kumpa muda hii ni tabia mbaya! Nadhani una mfumo dume halafu upeo mdogo! Kwa taarifa yako so far viongozi wanawake wameonyesha umakini zaidi.Thanks.
A very good observation.
Nitaweka silaha chini huko twitter kuhusu Samia na nitaongelea observation yako huko kwa wadau tumpe mda mama tuone.
. Sema kuhusu magari/mabasi ya kusafiri mikoani tz ni baba wa EA 😂😂 no one can compete us
Picha za chini tafadhali, aerial view haileti shangwe!Mkuu NDINDA usimpeleke mbali, Dar haina mfano wake kwenye sekta ya estates, size yake hii hapa inaitwa Fumba town Zanzibar [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji1664][emoji1664][emoji205][emoji205]View attachment 1761822View attachment 1761823View attachment 1761824View attachment 1761825View attachment 1761826
Sent using Jamii Forums mobile app