Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bei ya Airbus H225 Eurocopter ni $ 29.5 Million U.S.
Bei ya MD-530 ni $ 1.3 million U.S.

Yaani kwa hesabu za haraka haraka pesa ya Airbus Eurocopter H255 unaweza nunua MD 530 zaidi ya 20
Hahahaha. Wameletewa mitumba. Yaani vyuma chakavu. Ndio maana yanaua watu kila siku.
Tanzania imenunua hizo kama 5 hivi maana yake ni MD-500, zaidi ya 100
 
Head to head:
Price
Bei ya Airbus H225 Eurocopter ni $ 29.5 Million U.S.
Bei ya MD-530 ni $ 1.3 million U.S.
Boss mbona unalazimisha kucompare attack helicopter na transport helicopter? Kwani nani alikudanganya kwamba Kenya haina transport helicopter? Najua hamna attack helicopter hata moja ndio maana unakazana na transport helicopter yenu. Unataka niweke transport helicopter za Kenya? Sisi tuna Huey helicopters ambazo ndio transport helicopter zetu
 
Head to head:
Price
Bei ya Airbus H225 Eurocopter ni $ 29.5 Million U.S.
Bei ya MD-530 ni $ 1.3 million U.S.
Kwanza siku nyingine usiwahi leta mdomo yako eti unataka kushindana na Kenya airforce. Kenya airforce ina ndege 152 kwa ujumla wakati nyinyi mna ndege chini ya 40. Siku nyingine ukisikia neno Kenya airforce unapaswa kutoroka
Screenshot_20210418-215147.jpg
 
Boss mbona unalazimisha kucompare attack helicopter na transport helicopter? Kwani nani alikudanganya kwamba Kenya haina transport helicopter? Najua hamna attack helicopter hata moja ndio maana unakazana na transport helicopter yenu. Unataka niweke transport helicopter za Kenya? Sisi tuna Huey helicopters ambazo ndio transport helicopter zetu
Unajua maana ya combat!?
Screenshot_20210418-215525.png
Screenshot_20210418-215651.png
 
Hio ndege yenu hairushi kombora yetu inarusha kombora sasa sijui unacompare nini? Yenu ni transport helicopter. Halafu nimekuambia sisi tuna MD-500 zaidi ya 30. Nyinyi helicopter aina hiyo mnazo chini ya tano. Idadi pia ni muhimu. Lazima tuzingatie idadi.
Luteni tu anaembebea mkoba cdf mabeyo hajui idadi ya chopper tulizokua nazo,wewe huko kibera mida hii unajifanya kujua,TZ mambo ya silaha za kijeshi ni siri mno,kipindi cha jk wachina walituzawadia war ship 2 ,zikapewa majina msoga na butiama kama sikosei,2 zilikua njiani kutimiza ziwe 4,ebu jaribu kugoogle kama utaziona katika meli zinazomilikiwa na TPDF,kwa taarifa yako ni meli za kisasa ukanda huu,huko kusini ni 🇿🇦 ndio wana meli kama hizo,hata angola hawana
 
Wewe mpumbavu nini tangu lini Wikipedia ikawa reliable source. Subiri uone ninaibadilisha airforce page yenu uone sasa. Mpumbavu wewe.
Hili jitu unajua linaitwaje? Jitu linafanya mashambulizi ya hakika. Jitu linaitwa Harbin Z-9. Tunazo sita wakati nyinyi mnaringa na helicopter mbili.
images (8).jpeg
download (2).jpeg
images (9).jpeg
 
Back
Top Bottom