Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haven of Peace - Dar es salaam
1618838335424.png


1618838845821.png


1618838990473.png
 
Hata bendera ya UG ingeanza, mgesema Tahmeed ya kwa M7!
Hii battle mnafanya too general and easy

Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda

1 Wajir

2 West Pokot

3 Turkana

4 Samburu

5 Isiolo

6 Mandera

7 Garissa

8 Lamu

Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
 
Hii battle mnafanya too general and easy

Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda

1 Wajir

2 West Pokot

3 Turkana

4 Samburu

5 Isiolo

6 Mandera

7 Garissa

8 Lamu

Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
Tukitoka hapo tuhamie kwenye bus terminals

Sio unatuletea vipicha vya mabus yanayoenda Mombasa nairobi habari imeisha wakati sisi luxury busses ni all over the country Halafu utegemee tutoke draw? No way
 
Hii battle mnafanya too general and easy

Kama una ubavu wa kupambana na Tanzania kweli kwenye usafiri wa mabus unachotakiwa kufanya ni kuleta luxury busses zinazofanya safari zake kutoka nairobi au Mombasa au Kisumu kwenda

1 Wajir

2 West Pokot

3 Turkana

4 Samburu

5 Isiolo

6 Mandera

7 Garissa

8 Lamu

Leta hapa luxury bound Buses zinazotoa huduma zake kwenye hayo maeneo kisha na wewe useme na sisi tulete luxury Buses zinazofanya safari kwenye masafa kama hayo kwa upande wa Tanzania
Haha, naona umechagua specific regions with a reason, wacha nikuache tu.
Chukua hiyo luxury shuttle matatu hapo chini! 👇

images (4).jpeg


images (3).jpeg


images (2).jpeg


images (1).jpeg
 
Haha, naona umechagua specific regions with a reason, wacha nikuache tu.
Chukua hiyo luxury shuttle matatu hapo chini! 👇

View attachment 1756651

View attachment 1756652

View attachment 1756654

View attachment 1756655
Anza na Turkana na mimi nianze na Kigoma sababu geographically Turkana kwa kenya ipo located as kigoma kwa Tanzania

Leta bus kutoka any of your major cities zenye standard kama hii kwenda Turkana

Note, hapo ni kigoma bus terminal hivyo na Turkana bus terminal iwe featured kwenye pictures zako ili twende sambamba

 
Mzee wewe ni mgeni humu, Tukiita vita ni vita. Hawa wakenya huwajui wewe.
Unatakiwa umpige pale panapouma. Hawa ni wajinga mno ukiwachekea.
Unatoa povu kwa kuambiwa ukweli, unaleta picha ati mtu hana sura nzuri, ilhali in real life humfiki hata robo ya robo na huo uzuri wenyu
 
Back
Top Bottom