Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anza na Turkana na mimi nianze na Kigoma sababu geographically Turkana kwa kenya ipo located as kigoma kwa Tanzania

Leta bus kutoka any of your major cities zenye standard kama hii kwenda Turkana

Note, hapo ni kigoma bus terminal hivyo na Turkana bus terminal iwe featured kwenye pictures zako ili twende sambamba


Hayo makampuni ya mabasi yatakuwa yanatia kambi yakingoja nani? 😂 Hata akili kidogo tu kutumia kunakushinda!
Angalia tofauti hapo ya Kigoma na Turkana!!!

images.jpeg


images (1).jpeg
 
Unatoa povu kwa kuambiwa ukweli, unaleta picha ati mtu hana sura nzuri, ilhali in real life humfiki hata robo ya robo na huo uzuri wenyu
Such people have low esteem issues and just bieng primitive or in real life they are much uglier.Mwambie awake picha yake tumjadili if he is man enough
 
Kenya ni central tu ndio penye developed life, huko kwengine kote ni sikitiko wakati Tanzania maendeleo ni kila angel

Na kutokana mimi kuijua Kenya vizuri hasa unprivileged territories huwa nataka tuanzie huko kwenye kila battle sababu huwa nawapiga chini second ya kwanza tu.
Unakujua central?
Hapo chini sio "central" unapopajua wewe! 🤣

images (4).jpeg

Hemingways, Watamu,Malindi County
 
Mzee wewe ni mgeni humu, Tukiita vita ni vita. Hawa wakenya huwajui wewe.
Unatakiwa umpige pale panapouma. Hawa ni wajinga mno ukiwachekea.
Nakuelewa mkuu kwenye vita huwezi kumchagulia adui silaha au akupige wapi ila najua izi semi za mademu wao sijui wetu ni utani I hpe ni utani tuu hazina mashiko
 
Back
Top Bottom