ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mmiliki ni mtu kutoka tanga na mama yake yuko tanga mpaka sasa hvu 😁😁😁 ulikua hujuiTahmeed coach limited is a kenyan company boss![]()
Mmiliki ni mtu kutoka tanga na mama yake yuko tanga mpaka sasa hvu 😁😁😁 ulikua hujuiTahmeed coach limited is a kenyan company boss![]()
😅😅😅 Hawa unatakiwa kuwapiga kisaikolojia yaani mkenya ukishamtajia Wajir, Turkana, Marsabit, Samburu, Mandera, Isiolo, Lamu, Pokot lazima ahairishe mjadala, sababu anajua hizo ni shithole places ever blessed to be in Kenya ambazo ukilinganisha na Nairobi ni kama mbingu na ardhi 😅😅😅
Mmiliki ni mtanzania kutoka tanga na mabasi ya tahmeed yamejaa tanzania sasa unataka kulia au🤣🤣🤣🤣Kidogo wataanza kusema Modern Coast ni Yao juu inaoperate Kwao pia.😂😂
I said it here that Tanzanian BRT was a failed system and was on it's deathbed. Now your PM confirmed it for you. ichoboy01 come here we have a meeting 🤣.
View attachment 1756580
kadir mda unaenda.. unatakiwa kuwe na maintainability ili vielendelee kudumuHilo wanalijua kibundani tena kwa msaada tu wajue sehemu yoyote yenye usafiri na usafirisha wa hali ya juu ni indicator ya muhimu ya uchumi imaraKwaiyo umekubaliana na kauli ya kuwa Tanzania iko more urbanised than kenya
Oh, kwahiyo kila Mtanzania anakula bata na hakuna shida yoyote sio? 😂 😂 😂A drop in the the ocean
Hayo ndio maisha ya common citizens?
"Huyo wa Tz" , anawazulumu, Tahmeed wa Kenya ndio kusema. 😂😂😂Mmiliki ni mtanzania kutoka tanga na mabasi ya tahmeed yamejaa tanzania sasa unataka kulia au🤣🤣🤣🤣
Mbona unakimbia? Umekula lakini?Oh, kwahiyo kila Mtanzania anakula bata na hakuna shida yoyote sio? 😂 😂 😂
View attachment 1756787
View attachment 1756788
Kama Navy Seals vile??? 😂 😂 😂 😂These are TPDF Commandos. Wapo wengi mno mkileta vya kuleta tunamaliza na nyie kimya kimya
View attachment 1756779
View attachment 1756780
View attachment 1756782
View attachment 1756783
Hzi zinaitwa benz mzee 🤣🤣👇👇
Haya mapicha yako yarudishe ulikoyatoaOh, kwahiyo kila Mtanzania anakula bata na hakuna shida yoyote sio? 😂 😂 😂
View attachment 1756787
View attachment 1756788
Labda nikuulize swali owner wa tahmeed anaitwa nani??😆😆😆😆"Huyo wa Tz" , anawazulumu, Tahmeed wa Kenya ndio kusema. 😂😂😂
Kudanga ndio kufanyaje KomoraTahmeed owners ndio akina nani hao, narudia tena tangia uanze kudanga hapa sijaona sehemu umeniletea "tahmeed coach limited" ni ya tz
Mambo ni moto usiguse mwambie uhunye tunamchungulia kwa karibu
View attachment 1756812
View attachment 1756814
View attachment 1756816
View attachment 1756818