Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee nimekupatia infornation kibao. Sasa unataka nikusaidieje sasa? Wewe leta proof kwamba Tahmeed owners ni wakenya.
Tahmeed owners ndio akina nani hao, narudia tena tangia uanze kudanga hapa sijaona sehemu umeniletea "tahmeed coach limited" ni ya tz
 
Hahaha mnaanza kuonesha mabasi ya Tanzania

View attachment 1756428

Jomba hiyo ni cert of appreciation, nilidhani wataka nionyesha kitambulisho cha mwenye tahmeed? 😂
 
Hiyo ilkuwa cha kuchovya chai, dadeki!
Huyo jamaa zuka sana
20210419_142231.jpg
 
Tahmeed launched launches new buses. The buses have similar characteristics with the current Standard Gauge Railway.
“We aim to compete with the SGR, we also want to please our customers. So we have introduced 12 VIP bus units at a cost of Sh26 million each. The passengers will be paying the same flat uniform fare without discrimination,”
NB;unamjua bwana Shatry wewe.. Hao ni ukoo wa wa Yemen wa enzi hizo. Mtafute ujue familia yake na uhusiano na Tahmeed.

IMG_20210419_142240.jpg
 
Umeruka kwa Alshabab, sijakwambia Alshabab tumewamaliza ujue, bado wapo, tena wengi tu. Wewe mwenye kushinda vita, hao vijana misituni si mwatoe, waishe, hao ata siwezi waita "terrorist" hata kama wanafanya maovu kwa jamii. Vifaa kama vya msomali, hawana. Fanyeni bidii ndugu zetu!
tulisha win mission mzee tukaendelea na shughuli nyingine ....
msijifananishe na JWTZ hata kidogo
 

du maajabu haya, eti tahmeed ni ya kenya??
kama mmiliki namjua ni Salim mtanzania inakuaje ni ya kenya?
Salim kipanga, ama? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Huko kwenyu ni branches zao, halafu hujiulizi kama hiyo jomba wa Tz, mbona magari yake makali makali anayawachia KE, customization zote zake kali zafanyiwa huku.
 
acha ujinga wew.. mmiliki wake ni salim.. mtanzania.. hio google inakuletea kutokana na location ulipo.. hata kenya wana ofisi
Oyaaaa, tumewachapa na kampuni moja tu, zingine bado, tayari mwataka geuza meza, kilio hicho, dadeki! 🤣 🤣 🤣
 
Tahmeed launched launches new buses. The buses have similar characteristics with the current Standard Gauge Railway.
“We aim to compete with the SGR, we also want to please our customers. So we have introduced 12 VIP bus units at a cost of Sh26 million each. The passengers will be paying the same flat uniform fare without discrimination,”
NB;unamjua bwana Shatry wewe.. Hao ni ukoo wa wa Yemen wa enzi hizo. Mtafute ujue familia yake na uhusiano na Tahmeed.

View attachment 1756451
Mzee Owner wa TAHMEED anaitwa Seif Nassor Salim.
Ni mkazi wa Tanga Tanzania.
 
Back
Top Bottom