ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,444
- 136,919
Zinarekebishwa zanzibar na ndio kuna karakana kubwa ya azam marine fala weweKwani zarekebishawa wapi? Wataka evidence??
Zinarekebishwa zanzibar na ndio kuna karakana kubwa ya azam marine fala weweKwani zarekebishawa wapi? Wataka evidence??
Ndio tunataka Evidence sasa hvi 😆😆😆 nyinyi muna meliKwani zarekebishawa wapi? Wataka evidence??
Kipo kibaha nakijua sanaSasa sitaki watu wapige kelele
KIWANDA CHA MAGARI MAPYA CHA GF VEHICLES ASSEMBLERS CHATENGENEZA MAGARI 100 KWA MIEZI MINNE YA KWANZA
View attachment 1753018View attachment 1753019View attachment 1753020
Ndio tunataka Evidence sasa hvi 😆😆😆 nyinyi muna meli
Mushawahi tengeneza 😝😝😝
Kuna hii inakuja piaHvi vitu kenya watavipata miaka 100 ijayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuvipate vya kwenda wapi?Hvi vitu kenya watavipata miaka 100 ijayo
Private owned, huyu mhindi wa gujarat kaiteka tanzania vibaya sana. Nchi kama ni yake🙄Kuna hii inakuja pia
Sio tu Tz kateka EA nzima, tunaenda chooni asilimia kubwa ni msosi wake km hutaki wewe jeuri tuPrivate owned, huyu mhindi wa gujarat kaiteka tanzania vibaya sana. Nchi kama ni yake
Kumbe ni mhindi wa Gujarat!?Private owned, huyu mhindi wa gujarat kaiteka tanzania vibaya sana. Nchi kama ni yake
Samahani kidogo i thought ni Mo dewji😀Kumbe ni mhindi wa Gujarat!?
View attachment 1753515
Angekuwa Kenya kweli angekuwa muhindi wa gujarat kama ulivyosema. Lakini kwa kuwa yupo Tanzania na ni raia wa TZ kwetu ni MTANZANIA.Private owned, huyu mhindi wa gujarat kaiteka tanzania vibaya sana. Nchi kama ni yake🙄