Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiwaambia hii ni bus terminal 😁😁😁
5A06AA0D-1348-4AE9-BD46-2CB592D3B09C.jpeg
 




Wakuu, anayejua CAG alilipwa na nani kutengeneza ile ripoti yake anijuze tafadhali. Nina hamu ya kujua nani na nani wanatuuza!

Pia yule aliyesema hatuna wataalam hivyo makandarasi na makonsaltant wa nje waje na wataalam wao mpeni hizi salamu.

Nilishangaa sana yule mwendawazimu alipodai mradi wetu wa JNHPP unatumia feasibility study ya mwaka 70. Hebu mtazame mwenyewe mtaalamu wetu mzalendo akitema madini hapo.
 
Back
Top Bottom