babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Ukabila na ubaguzi unawatafuna wakunya hadi kwenye ubongo.Angekuwa Kenya kweli angekuwa muhindi wa gujarat kama ulivyosema. Lakini kwa kuwa yupo Tanzania na ni raia wa TZ kwetu ni MTANZANIA.
Ukabila na ubaguzi unawatafuna wakunya hadi kwenye ubongo.Angekuwa Kenya kweli angekuwa muhindi wa gujarat kama ulivyosema. Lakini kwa kuwa yupo Tanzania na ni raia wa TZ kwetu ni MTANZANIA.
Nowadays uzi hauna time nao, tanzania inarudi kama zamani - shamba la bibi.🤑🤑Sio tu Tz kateka EA nzima, tunaenda chooni asilimia kubwa ni msosi wake km hutaki wewe jeuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naoma umeanza kujitekenyawater supply, hospitals, slaughter houses na markets tumewagaragaza
Subutu, labda nyie watu wa chattleSio tu Tz kateka EA nzima, tunaenda chooni asilimia kubwa ni msosi wake km hutaki wewe jeuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yamewakuta kwenu ndio unajitia hamnazo sioAngekuwa Kenya kweli angekuwa muhindi wa gujarat kama ulivyosema. Lakini kwa kuwa yupo Tanzania na ni raia wa TZ kwetu ni MTANZANIA.
CAG analipwa na serikali,ukaguzi anakagua aliyoyakuta haji na taarifa zake,na kabla hajaondoka wanaohusika wanasign kudhibitisha Ni kweli alioyaona sasa wewe unafikiri CAG nimwanasiasa au vp?Nachukia sana watu mnaoogopa ukweli maana bila ya kuambiwa ukweli hamuwezi kubadilika
Wakuu, anayejua CAG alilipwa na nani kutengeneza ile ripoti yake anijuze tafadhali. Nina hamu ya kujua nani na nani wanatuuza!
Pia yule aliyesema hatuna wataalam hivyo makandarasi na makonsaltant wa nje waje na wataalam wao mpeni hizi salamu.
Nilishangaa sana yule mwendawazimu alipodai mradi wetu wa JNHPP unatumia feasibility study ya mwaka 70. Hebu mtazame mwenyewe mtaalamu wetu mzalendo akitema madini hapo.
Acha utahira wewe, jipe shughuli tu manake unayoyataka sio size yako
Wakuu, anayejua CAG alilipwa na nani kutengeneza ile ripoti yake anijuze tafadhali. Nina hamu ya kujua nani na nani wanatuuza!
Pia yule aliyesema hatuna wataalam hivyo makandarasi na makonsaltant wa nje waje na wataalam wao mpeni hizi salamu.
Nilishangaa sana yule mwendawazimu alipodai mradi wetu wa JNHPP unatumia feasibility study ya mwaka 70. Hebu mtazame mwenyewe mtaalamu wetu mzalendo akitema madini hapo.
Mbona basi likija swala la kenya mnakua wanafikiUkabila na ubaguzi unawatafuna wakunya hadi kwenye ubongo.


Kwa taarifa yajko service za azam marine zinafanywa kwenye karakana ipo zanzibar na ndio mulikua munadanganya watu kua nyinyie ndio munatengeza australian boats🤣👇View attachment 1753420View attachment 1753421
🤐🤐🤐🤐🤐🤐 jifunze kukaa kimya, meli zenu tunarekebisha na berges mpya tunawaundia👎
Lamu to mombasa, lamu to malindi , malindi to mombasa zote route unaeza tumia boat kupuguza gharamaTuvipate vya kwenda wapi?
Mbona sauti imekwama 🤣🤣🤣🤣Private owned, huyu mhindi wa gujarat kaiteka tanzania vibaya sana. Nchi kama ni yake🙄
Kwhyo unapinga hilo dude hapo secco sio la tzKwa taarifa yajko service za azam marine zinafanywa kwenye karakana ipo zanzibar na ndio mulikua munadanganya watu kua nyinyie ndio munatengeza australian boats![]()

We mpuuzi sana, njoo uweke wewe alafu uone nani atapandaLamu mombasa, lamu malindi , malindi mombasa zote route unaeza tumia boat kupuguza gharama
Nakwambia karakana kubwa ya azam ipo zanzibar kataa ukubali 😄😄 mwanzo mulijidanganya nyinyu ndio munatengeza 😃😃 wakat ni australiaKwhyo unapinga hilo dude hapo secco sio la tz![]()
Akili yenu imeganda kwenye barabara hamuna alternative mukizoea githeri basi ni githeri tu iko akilini mwenu 🤣🤣🤣🤣We mpuuzi sana, njoo uweke wewe alafu uone nani atapanda