NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,332
- 47,084
Hvi vitu kenya watavipata miaka 100 ijayo
Kuna kiherehere kilisema wao ndio wanatengeneza Ferry za Azam
Hvi vitu kenya watavipata miaka 100 ijayo
hapa ndo umeeleweka mkuu
sema hii inayopita uhuru road kuelekea bugurun .. pale kariakoo itapitaje maana sehem kimbamba afu kushoto na kulia kuna maghorofa
Kwani zarekebishawa wapi? Wataka evidence??Kuna kiherehere kilisema wao ndio wanatengeneza Ferry za Azam
Nadhani hata kipande cha mataa ya chang'ombe hadi kilwa road itakua hivyo hivyo . Maana barabara ni nyembambaPale inaweza kuwa BRT lanes Pekee. Angalia Morogoro road kuanzia DIT Mpaka Nyerere Square . Ni BRT only.
Itaanza soon bro hii corona inasumbua kidogo
Ofcz nilikuwa na wazo km hili.Pale inaweza kuwa BRT lanes Pekee. Angalia Morogoro road kuanzia DIT Mpaka Nyerere Square . Ni BRT only.
Ila pale Chang'ombe mbn pana sn ni mpk huku VETA angalia upana wake.Nadhani hata kipande cha mataa ya chang'ombe hadi kilwa road itakua hivyo hivyo . Maana barabara ni nyembamba
Ukizingatia na waenda baiskeli na wapita kwa miguu bado pana?Ila pale Chang'ombe mbn pana sn ni mpk huku VETA angalia upana wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Top 10 Kenya ina Bahati na Nameless tu?Hata wakinuna. But huu ndio moto
View attachment 1753027
Pale inaweza kuwa BRT lanes Pekee. Angalia Morogoro road kuanzia DIT Mpaka Nyerere Square . Ni BRT only.
Si wamezoea kuiga bila plan hawajui sisi tulikua tuna plan zaidi ya miongo miwil ya brt na bado light rail train , tulishapangaga zamani bado utekelezaji tuuTofauti ni kwamba Tz tulikuwa na utaratibu mzuri wa kuacha nafasi katikati which means tulikuwa na plans za muda mrefu lkn wenzetu hawakuwa na plans hizo ndio maana inakuwa ngumu kujenga system ya BRT, kwa mfano angalia Thika ili waweke BRT itawabidi wafanye uharibifu fulani pale kati au wachore km walivyojaribu but hata wakichora itawabidi waifumue Thika pale kati ili wajenge stations za BRT, otherwise waachane na mpango wa BRT au waendelee na ujenzi wa juakali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale tazara na chama inafaa wajengee bonge la flyover aisee maana kuna folen sio ya kitotook, sema hio sehem/barabara watu ndo huwa tunaitumia kuingilia kupark magar ili tuanze mizunguko ya kununua vitu.. sasaa itabid tupitie kule jakaya kikwete ground
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema "kuna wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya hivi" sijui alikuwa anamaanisha nini View attachment 1753002
Sent using Jamii Forums mobile app
watulie sasa hawa nyang'au wa kikenyaSasa sitaki watu wapige kelele
KIWANDA CHA MAGARI MAPYA CHA GF VEHICLES ASSEMBLERS CHATENGENEZA MAGARI 100 KWA MIEZI MINNE YA KWANZA
View attachment 1753018View attachment 1753019View attachment 1753020
😁😁😁😁 namuomba umtag bro aje hapa atueleze vzrKuna kiherehere kilisema wao ndio wanatengeneza Ferry za Azam