Phase Two Boss, ile ndio inaenda kuunganisha pale magomeni na Morogoro road na Kilwa road, Phase 3 itapita pale ilala Boma hadi Tazara na kuelekea Town itapita pale mpaka mnazi mmoja kukutana na kipande kinachotokea Posta ya Zamani , akiba kupitia Bibi Titi mpaka mnazi mmoja tena.hiv ile brt ya ilala boma kwenda magomeni ni phase 2 au3?
Phase IIhiv ile brt ya ilala boma kwenda magomeni ni phase 2 au3?
Kwn phase 3 kutokea pale Tazara kuelekea mjini si itanyoosha kuja kukutana na hii phase II hapa Chang'ombe au inapitia njia ya Buguruni?Phase Two Boss, ile ndio inaenda kuunganisha pale magomeni na Morogoro road na Kilwa road, Phase 3 itapita pale ilala Boma hadi Tazara na kuelekea Town itapita pale mpaka mnazi mmoja kukutana na kipande kinachotokea Posta ya Zamani , akiba kupitia Bibi Titi mpaka mnazi mmoja tena.
Aah mbona hueleweki mzee ebu rudiaPhase Two Boss, ile ndio inaenda kuunganisha pale magomeni na Morogoro road na Kilwa road, Phase 3 itapita pale ilala Boma hadi Tazara na kuelekea Town itapita pale mpaka mnazi mmoja kukutana na kipande kinachotokea Posta ya Zamani , akiba kupitia Bibi Titi mpaka mnazi mmoja tena.
Phase 2 nlikua najua mbagala gerezani kupitia kilwa road then phase 3 gerezani gongolamboto via nyerere rodi ebu au vipi sasa ichi kipande kipya via kigogo kinanichanganya
🤣Aah mbona hueleweki mzee ebu rudia
Phase Two ni Kilwa Road na Kawawa Road kuunganisha na BRT Phase one pale magomeni.Phase 2 nlikua najua mbagala gerezani kupitia kilwa road then phase 3 gerezani gongolamboto via nyerere rodi ebu au vipi sasa ichi kipande kipya via kigogo kinanichanganya
Phase 2 nlikua najua mbagala gerezani kupitia kilwa road then phase 3 gerezani gongolamboto via nyerere rodi ebu au vipi sasa ichi kipande kipya via kigogo kinanichanganya
Hapo sawa mkuu umeeleweka.
Aliyoulizia mkuu hapo ni lile eneo pale la Ilala ambapo tayari pamebomolewa na kuanza kujengwa (Pale karibu na kwa mkuu wa mkoa au magorofa ya lamada Hotel) hiyo ni Phase two ambayo itaunganisha Morogoro road na Kawawa road pale eneo la Magomeni.
Hivyo hivyo hiyo Kawawa road ndio itaenda kuunganisha na Kilwa road kupitia pale Nyerere road na Chang'ombe karibu na VETA .
Phase 3 ina barabara kadhaa , barabara moja itapita Nyerere road hadi Gongolamboto na barabara zingine zitakua Azikiwe, Maktaba , Bibi Titi na kukatisha pale mnazi mmoja na kuifuata Uhuru road mpaka Buguruni then inakata kuelekea TAZARA flyover na kukutana na lanes za Nyerere road zinazoelekea Goms.
water supply, hospitals, slaughter houses na markets tumewagaragazavitu ambavyo i feels proudly tumewazidi majiran ni BRT system, SGR (umeme), mradi wa REA, buses terminals, high quality viwanja vya ndege, idadi za ndege (state owned)... etc
kitu kingine, japo haitiwi maanan sana na viongozi ni viwanja vya mpira.. tukipata vingine viwili kama cha mkapa.. tunakuwa tungefunga mahesabu ishu ya viwanja kwa hapa East and Central Africa.
Hapa Tupo pamoja mzee sijui wenzetu uko na zao za kuchora sijui itakuwaje kama Hapa kwetu wazee wanatanua pamoja na uzio sasa kule Kwa wenzetu na imaginary lines sipati pichaa
Ila jpm kutuacha pabaya we imagine mzee alisema kwamba Dar ndio alikua anaanza kuijenga alikua anataka ikifika 2025 Dar nzima imepigwa lami au zege, mitaa yote ya uswazi alikua anapiga lami na taa juu