ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,444
- 136,925
Serekali haina shares kwaHta modern coast iko chini ya wizara ya uchukuzi, aboud bus pia vile vile
Umeona ukilaza wako ulipofikia
Serekali haina shares kwaHta modern coast iko chini ya wizara ya uchukuzi, aboud bus pia vile vile
Umeona ukilaza wako ulipofikia
Alaf wako humu wanashangilia 😄😄 dunia inakwenda mbele wao wanarudi nyuma miaka 70Ihye ihye ihyeee
🤣🤣🤣
Na hakuna mtu kasema kq ni wizara 🤣🤣 leo hutoki hapa mpaka akili ikukae sawaHakuna wizara inaitwa KQ
Hana uwezo wowote hyo wa kumpelekesha allan kuhusu maswala ya ndani ya kampuni..
Yeye kazi yake ni uwaziri wala hana u boss wowote ule..
Wako hapa kushangilia 🤣🤣🤣🤣Ihye ihye ihyeee
🤣🤣🤣
Kazi ya wizara ni kuweka taratibu ili zifuatweSerekali haina shares kwaView attachment 1752564View attachment 1752565 modern coast ila modern coast inafata taratibu zote za usafiri ukiowekwa na serekali chini ya wizara
View attachment 1752564View attachment 1752565
Sikujua kama unaweza ku-stoop so low namna hii mama akitoka kampala anaenda Mwanza kuzindua SGR lot 3 !
Mkiamka malazy wa Kenya tumewapiga tena kwenye SGR!
Inaweka taratibu na kusimamia mali za serekali na ina 44% shares na ndio owner mkubwa kwa sasa kq 🤣🤣🤣 na kq iko chini ya wizara ya uchukuzi kwa uangalizi na usimamizi 😀😀😀 ndio maana unapoambiwa loss inatafuta tax payers money uelewe 👇👇👇👇Kazi ya wizara ni kuweka taratibu ili zifuatwe
Kumbe ilikua walijua hilo alafu unajitoa ufahamu tu hapa..
Tosha sasa haina niendelee na wewe, rudia tena kazi ya wizara ni nn?
Sijaona utaje u boss hapo
🤣🤣🤣🤣 kwann kq huongelewa bungeni kwanini inaongelewa bungeni na kwann macharia anaiongelea kq?? Unajitia upunguwaniKazi ya wizara ni kuweka taratibu ili zifuatwe
Kumbe ilikua walijua hilo alafu unajitoa ufahamu tu hapa..
Tosha sasa haina niendelee na wewe, rudia tena kazi ya wizara ni nn?
Sijaona utaje u boss hapo
Mumeona mbele na shirika linafkisha hasara ya 333m usd🤣🤣🤣🤣 hio hela inawez nunua dreamliner mpya na cessna caravan 20 na change ikabakivivyo hivyo ndio mlisema wakati wa air tanzania, saa hii imebaki kumbeba rais tu,, hasara tupu....akili ya vitu vingine hamnaga aiseee, tuachieni sisi wakenya tulioona mbele
Wee..tumeshamaliza mjadala, nadhani ilikua hujui kazi za wizara lkn nimeona kidogo zimekukaa sawa sasa baada ya kukupeleka mbio..kwann kq huongelewa bungeni kwanini inaongelewa bungeni na kwann macharia anaiongelea kq?? Unajitia upunguwani
Mwarabu koko KQ si mali ya serikali🙄Inaweka taratibu na kusimamia mali za serekali na ina 44% shares na ndio owner mkubwa kwa sasa kq 🤣🤣🤣 na kq iko chini ya wizara ya uchukuzi kwa uangalizi na usimamizi 😀😀😀 ndio maana unapoambiwa loss inatafuta tax payers money uelewe 👇👇👇👇 View attachment 1752584
Mkuu hivi route ya dar-nai inaanza lini,siwaelewi hawa atcl isije ikawa wanatuhujumu?Atacl bado serekali ina invest haiwezi tegemea faida kwa muda mfupu bado kuna ndege zaidi ya tano zishalipiwa zinakuja bado investment inaendelea leo utafananisha hasara ya ATCL five yrs ni 27m usd against hasara ya kq mwaka mmoja tu 333m usd akili yako iko sawa kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaomba iwe nairobi
Picha ya Kwanza nipo kwenye huo msusuru , LOL Tulipiga kitu "The Beatles’ Abbey Road album cover"
skuwahi kujua hii kuusiana na the BeatlesPicha ya Kwanza nipo kwenye huo msusuru , LOL Tulipiga kitu "The Beatles’ Abbey Road album cover"
The story behind The Beatles’ Abbey Road album cover
One of the most famous photographs of all time was shot in August 1969. Here's the story behind the Abbey Road album cover.www.radiox.co.uk
View attachment 1752753