game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,231
- 26,729
Garimoshi [emoji2][emoji2][emoji2]Sa we ni pesa inakutia wasiwasi,[emoji23][emoji23]tutalipa na hio expressway na SGR zitabaki nasi forever,,
Garimoshi [emoji2][emoji2][emoji2]Sa we ni pesa inakutia wasiwasi,[emoji23][emoji23]tutalipa na hio expressway na SGR zitabaki nasi forever,,
Hahah sawa mkuu umenikumbusha ya Kabudi na Madagascar 🤣🤣🤣,COVID hii tumeona mengi.Ni utani tuu usichukulie serious, ila inawezekana 5H-ONE inahitaji kufanyiwa matengenezo mara ya mwisho kuiona ilikuwa wakati kabudi anaenda Madagascar.
Still idle for 24 yrs inamaana pesa za taxpayers hazikutendewa haki alaf mtu anauliza kwann debt imeua kenya 🤣🤣🤣 na hapo ukiuluza cost iliotumika ni sawa na kujenga airport kama hio 3
Geza Ulole 👇👇👇👇👇👇
Nchi yenu ishajinyea, mtu anawekeza zaidi ya dollar bilioni moja katika mradi wa bahati nasibu[emoji2960]
Yani kufikia 2025 mtakua mumepoteza pesa kibao kw matumizi ya kiboya km hayo ya kununua ndege alafu unakuta anatembelea rais km daladala[emoji23][emoji23]
KQ serekali bado inalipia parking fee yani vyanzo vyote vya mapato inachangia pia, nyie hko sio ajabu CAG akifanya yake atakuta hyo miaka yote mitano mindege ilikua inapaki bure pale jnia alafu ni tax free..
Wachezea jiwe wewe, yani hawezekani kwa ufisadi
Ujinga ulio nao ni walevel ya kipekee [emoji706][emoji706][emoji706] niambie ni ndege gani ilikuwepo miaka mitabo iliyo pita? Wakat ndege ya kwanza ilikuj december 2017 ..izo zilizo kuja miaka mitano ni zipi ww mkunya wa uunyeeNchi yenu ishajinyea, mtu anawekeza zaidi ya dollar bilioni moja katika mradi wa bahati nasibu[emoji2960]
Yani kufikia 2025 mtakua mumepoteza pesa kibao kw matumizi ya kiboya km hayo ya kununua ndege alafu unakuta anatembelea rais km daladala[emoji23][emoji23]
KQ serekali bado inalipia parking fee yani vyanzo vyote vya mapato inachangia pia, nyie hko sio ajabu CAG akifanya yake atakuta hyo miaka yote mitano mindege ilikua inapaki bure pale jnia alafu ni tax free..
Wachezea jiwe wewe, yani hawezekani kwa ufisadi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamezitwanga chupa ,,wakazifanyia utafiti walipona hazina ishu wakazipotezeaHahah sawa mkuu umenikumbusha ya Kabudi na Madagascar [emoji1787][emoji1787][emoji1787],COVID hii tumeona mengi.
Ww ulitegemea hasara ya kq pesa zinatoka wapi kwenye miti ama ??🤣🤣🤣🤣 hujui kwamba ni pesa zenu ndio zinawalipa wenye ndege kutokana na mikataba mibovu mulioingizwaWe jamaa kumbe mweupe sana, ukifanay biashara alafu una deni utaanzaje kulipa madeni ya watu mpka uje ujikute umepata hasara
Macharia na ww nani mwenye wizara 🤣🤣👇👇👇👇👇👇Source, press release[emoji23][emoji23]
Ni media ya wapi hongkong ama 🤣🤣The star[emoji23]
Bora ya sisi tunaekeza kwa pesa zetu vp nyinyi munaetafura mchawi miaka 9 leo mukitumia pesq za taxpayers kulipa pesa za wenye ndege zao 😁😁😁😁😁Bado hatujaunganisha pesa za walipa kodi zilizotunika kinyume na katiba kukomboa hayo mapipa..
Yani rougly mumepoteza more than a bilion dollar na bado mnasema mnawekeza tu[emoji23][emoji23].
Tony254 naona tune imebadilika huku, jamaa kuanzia shirika lianzishwe miongo mitatu minne iliyopita bado halijui faida ni nn[emoji2960][emoji2960]
Aliekwambia imepaki ni nani ?? Ndege zinafanya kazi za ndani ya nchi na baadhi ya nje za nchi 😀😀 eti leo unafananisha hasara ya miaka mitano ya ATCL 27/5 = 5.4m usd kila mwaka against 333m usd a year kq 😅😅Nchi yenu ishajinyea, mtu anawekeza zaidi ya dollar bilioni moja katika mradi wa bahati nasibu[emoji2960]
Yani kufikia 2025 mtakua mumepoteza pesa kibao kw matumizi ya kiboya km hayo ya kununua ndege alafu unakuta anatembelea rais km daladala[emoji23][emoji23]
KQ serekali bado inalipia parking fee yani vyanzo vyote vya mapato inachangia pia, nyie hko sio ajabu CAG akifanya yake atakuta hyo miaka yote mitano mindege ilikua inapaki bure pale jnia alafu ni tax free..
Wachezea jiwe wewe, yani hawezekani kwa ufisadi
Ila hapa mchina alishangaza ulimwengu 🤣🤣Garimoshi [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 1751427
🤣🤣🤣🤣🤣 ATCL kwa mwaka ina hasara ya 5.4m usd wakat kq ina 333m usd sijui anapata wapi nguvuwivu ukizidiView attachment 1751447
Hajui kama ni shirika ambalo bado investments inaendelea 😀😀😀 sijui wanalaana ya nani haoUjinga ulio nao ni walevel ya kipekee [emoji706][emoji706][emoji706] niambie ni ndege gani ilikuwepo miaka mitabo iliyo pita? Wakat ndege ya kwanza ilikuj december 2017 ..izo zilizo kuja miaka mitano ni zipi ww mkunya wa uunyee
Jamaaa kaombaa mikopo kibao kashindwa kuondoa kipindu pindu hapo kwenu.Jamaa katumia hela kibao za ndani kununua ndege za hasara[emoji23][emoji23][emoji23] heri angejenga interchanges jam ipungue dar.
#RIPMagu
#RIPmagu
Jamaaa kaombaa mikopo kibao kashindwa kuondoa kipindu pindu hapo kwenu.
[emoji205][emoji205]
#poor uhunye
Tunajenga kulingana na mahitajii HatukurupukiiiNchi nzima kajenga interchanges mbili, mzee la bishow la penda sifa sana kumbe bure.
#RIPMagu shetani alikupenda zaidi[emoji28]
Atcl imepata hasara miongo karibia mitatu, we unaongelea miaka mitano hapa[emoji23][emoji23]Aliekwambia imepaki ni nani ?? Ndege zinafanya kazi za ndani ya nchi na baadhi ya nje za nchi [emoji3][emoji3] eti leo unafananisha hasara ya miaka mitano ya ATCL 27/5 = 5.4m usd kila mwaka against 333m usd a year kq [emoji28][emoji28]