komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Baada ya kupata hasara miaka nenda miaka rudi yule genius wenu feki akaja na idea ya kiboya zaidi kuliko za wenzake..Bora ya sisi tunaekeza kwa pesa zetu vp nyinyi munaetafura mchawi miaka 9 leo mukitumia pesq za taxpayers kulipa pesa za wenye ndege zao
Na ATCL bado investments inaendelea kuna ndege 3 zishalipiwa zinaingia mwaka huu
Na kunda ndege zingine tatu zishatolewa order
Jamaa kaongezea juu hasara ya dollar bilioni ya mtaji kufufua mfu mwnye madeni tele akitarajia atasifika kw kuficha madudu...
Rais mfisadi kuliko wote wale sai mambo yamewekwa hadharani








