Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Iyo ni phase 3Namaanisha ile road ya Nyerere inayotoka airport.
Iyo ni phase 3Namaanisha ile road ya Nyerere inayotoka airport.
Wakenya inaonekana mna mafweza ya kumwaga[emoji848]
Kaka biashara sio hivyo unavyotaka wewe, kupata route sio kupata abiria, katika kipindi hiki cha Corona sio rafiki kuanza hizo safari ndefuAir Tanzania wanamatatizo flani ya kutokuw serious sijui au hawa plan vizuri ..walishasema wanaanza Guangzhou ila naona wamefoward dates tena ..what is there problem .... London slots are easy to obtain but mpka sasa hola ...na dreamliner zimebaki kubadilishana route ya mumbai
Kuna kila dalili kwamba mama haiwezi hii nchi.Ukiwauliza wazee wanakuambiaje kabla ya jpm alikua sokoine kwaiyo tukae mkao wa kuliwa tu hatutompata kiongozi kam jpm kwa miaka ya hvi karibuni, stepu ya Kwanzaa mama kufeli ni kumwamin sana CAG ila Acha tuone mchezo mpira ndio Kwanzaa kipindi cha kwanzaa
Namaanisha ile road ya Nyerere inayotoka airport.
Unataka zitue watu wagawane ndege zetu? China kuna restrictions ya ndege kutoka nje due to Covid.
Wakenya inaonekana mna mafweza ya kumwaga[emoji848]
mama akitaka hii serekali isimshinde awe na secretive inteligent task force ambayo itafanya back to back investigation kwa kila ripoti anayopewa lasivyo yangu macho.Ukiwauliza wazee wanakuambiaje kabla ya jpm alikua sokoine kwaiyo tukae mkao wa kuliwa tu hatutompata kiongozi kam jpm kwa miaka ya hvi karibuni, stepu ya Kwanzaa mama kufeli ni kumwamin sana CAG ila Acha tuone mchezo mpira ndio Kwanzaa kipindi cha kwanzaa
Hilo lenu bovu sana. Afu pamefinyika space hamna.Km station yetuView attachment 1742015View attachment 1742016
Ndiyo tumaini lililobaki hilo, mpango nahisi ndiye atakaeongoza hii nchi ila wasi wasi wangu wanaweza wakaanza ku deal naye mapema, cz mama anaonekana km "ndiyo mzee"mama akitaka hii serekali isimshinde awe na secretive inteligent task force ambayo itafanya back to back investigation kwa kila ripoti anayopewa lasivyo yangu macho.
lakini mpango naamini atacover madhaifu mengi ya mama sababu anaupeo wa magu licha ya kuwa na elimu nzuri so kwa kiasi flani hatutayumba kiviile
Hiyo ya China ni render au ndio uhalisia, maana zile high rises kule background co mchezo.Km station yetuView attachment 1742015View attachment 1742016
Usisahau kusema marehemu😉
Eeeh sio mambo ya kutegemea watu wakupe repoti au kusubiria ripoti za uongo kwa mfano sekta ya madini bado sana ,inafaa awe mjanja kama jpm na hasiwamin sana mawaziri wakemama akitaka hii serekali isimshinde awe na secretive inteligent task force ambayo itafanya back to back investigation kwa kila ripoti anayopewa lasivyo yangu macho.
lakini mpango naamini atacover madhaifu mengi ya mama sababu anaupeo wa magu licha ya kuwa na elimu nzuri so kwa kiasi flani hatutayumba kiviile
Ww na izo chuki zako za kijinga peleka ushago[emoji6][emoji6][emoji6]Hilo lenu bovu sana. Afu pamefinyika space hamna.