Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Sipati picha February naye anataka kuwa raisi wa nchi hiiheri wambea kuliko wezi,walafi na mafisadi.
kumtoa mtu kama bashe,halafu unaweka mtu kama february sio kutafuta ufanisi wa kazi,ni kukamioisha njia za upigaji.
kwa hiyo hilo sahauni,na kwakweli tunawasihi muendelee kulia tu maana hakuna namna.

♂️.. asitekeleke nao
,akili ina ukomo Ila ujinga hauna ukomo huyu boya tunajua Yupo kwenye kundi lipi

