Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

M7 amesusia kuja katika mazishi ya JPM, Niliwaambia kwamba hatakuja na mkaendelea kumtetea. Endeleeni kumtetea. Mnaonyeshwa madharau ya wazi na mnajifanya kwamba hamuoni.
 
LaLiga congratulating our boy in Swahili on his birthday 😍 😍
Screenshot_20210326-204332~2.png
 
Usione mi nmeshangazwa sana baada ya kuona baadhi ya zile interviews..
Nilitamani kuona hata mmoja akisema rais kafanya hiki na kile kw ajili ya walalhoi na kikawainua kimaisha..

Yani majamaa hawataki kuwa matajiri kabisa aisee, raha yao ni kuona watu wanafunguliwa kesi za uhujumu uchumi mwisho wa siku waporwe hela warudi katika umaskini km wao..

"Shallow minds" kabisa
Hivi ww unajua neno "mnyonge"?au unaandika tu!
 
Back
Top Bottom