Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maiti izungushwe barabarani jua kali siku tisa afu isinuke, mwarabu koko Ichoboy si nasema ukweli au.
Wewe choko usirudie hz kauli zako za kishoga, mpk Wakenya wenzako wanakuogopa kwa maneno ya kishetani unayotoa, umekuwa na maneno ya kipumbavu unadhani ndiyo utapata umaarufu humu.

Kuna maiti zinakaa mpk miezi mitatu na hazijazikwa kwnn unaisimanga maiti iliyokaa siku chache hizo, wacha upunga ama nirudi tena kukufunza kwa vitendo.
 
Wewe choko usirudie hz kauli zako za kishoga, mpk Wakenya wenzako wanakuogopa kwa maneno ya kishetani unayotoa, umekuwa na maneno ya kipumbavu unadhani ndiyo utapata umaarufu humu.

Kuna maiti zinakaa mpk miezi mitatu na hazijazikwa kwnn unaisimanga maiti iliyokaa siku chache hizo, wacha upunga ama nirudi tena kukufunza kwa vitendo.
Unamaanishaje na hiyo last sentence yako haya njoo nipige niko nje kwako na mbogi yangu.
 
Issue sio idadi ya vifo

Issue ni kwamba wanakufa kwa magonjwa ya aibu, cholera ndio inaongoza kuwaua

Cholera inatokana na kula chakula au maji yenye mavi ya binadamu

Ugonjwa mwingine ni utapiamlo/njaa

Wanatia aibu
Kweli umelaaniwa kaka, mkulu anazikwa Chato sasa, wewe unapayuka porojo kutokana na chuki tu na inferiority complex, where u put your competitor down so as u may appear better, ilhali uko way below, jitekenye na kucheka tu, nawajua kwa ndani 😂 😛 . Jikubalini mahali mlipo. Mko ovyo bado, ila Magu kajaribu, but hamjakombolewa, ole wenu, heshimu Magufuli kwanza.
RIP Magufuli.
 
Kweli umelaaniwa kaka, mkulu anazikwa Chato sasa, wewe unapayuka porojo kutokana na chuki tu na inferiority complex, where u put your competitor down so as u may appear better, ilhali uko way below, jitekenye na kucheka tu, nawajua kwa ndani 😛 . Jikubalini mahali mlipo. Mko ovyo bado, ila Magu kajaribu, but hamjakombolewa, ole wenu, heshimu Magufuli kwanza.
RIP Magufuli.

mnakufaje kwa kichocho bana,halafu mnaharisha kishenzi.
 
Hawa huwa siwaelewi kabisa.

Screenshot_20210326-175524.jpg
 
Rais Magufuli alijali maisha ya kila mtanzania kimaisha,na ndio maana aliwaita wafanyabiashara wa madini amabao wengi wao sio walala hoi Kama unavyotaka kuinyesha upimbi wako hapa hata viongozi wachini kabisa Kama watendaji n.k,alafu Tanzania sio Kenya ambapo mwenye nacho ndio binadamu madisikini hana lake
Km anawatetea walalahoi kipi alichowafanyia ambacho utasema kimewainua kimaisha, manake porojo za kusema ya kwamba anawajali lkn kumbe ni kukomoana tu.
 
Wanasema alikuwa raisi wa wanyonge ..ivyo wenye pesa wote ni wapigaji, kana Kwamba bongo hairuhusiwi kuwa pesa unapaswa kuwa mnyonge

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Usione mi nmeshangazwa sana baada ya kuona baadhi ya zile interviews..
Nilitamani kuona hata mmoja akisema rais kafanya hiki na kile kw ajili ya walalhoi na kikawainua kimaisha..

Yani majamaa hawataki kuwa matajiri kabisa aisee, raha yao ni kuona watu wanafunguliwa kesi za uhujumu uchumi mwisho wa siku waporwe hela warudi katika umaskini km wao..

"Shallow minds" kabisa
 
Naona jukwaa la siasa lishakuharibu unaiga mpk misemo yao ya kipuuzi.
Uliniona lini huko mzee baba, nikuketee hizo interviews kama wabisha uone vile wanalia kwa sababu za kijinga kweli..

Si heri wangelimsifia kwa miradi kuliko kusema anawajali walalahoi, kawafanyia kipi hicho mpaka kikawafaidisha
 
Back
Top Bottom