Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

check on this
Duh!!
Sasa wewe nenda kajaribu kuponda hko twitter uone kitakachokukuta..
Haya yetu ya kuponda nchi hamtoyaweza bora usijichanganye tu jamani, manake ukiingia kumi na nane tu twitter utahama
Wakenya tunajuana wenyewe bana.
 
someni hii.. wameanza kutupa pressure tena.. wameacha kutaja kenya ugonjwa unapoongezeka wanatutaja sis tunaodunda kila siku

mama Samia ana kazi .. asitekeleke nao
Mficha maradhi humuumbua, mie sina la ziada kuhusu hilo
 
Duh!!
Sasa wewe nenda kajaribu kuponda hko twitter uone kitakachokukuta..
Haya yetu ya kuponda nchi hamtoyaweza bora usijichanganye tu jamani, manake ukiingia kumi na nane tu twitter utahama
Wakenya tunajuana wenyewe bana.
Wakenya hamna nguvu ya ku argue na mTz, kuna mikenya huwa naikimbiza kunako you tube mpk raha, Wakenya muandiko wenu unafanana, anavyoandika yosef festo, nicxie, teargass, kafrican, mwathadan na Wakenya wa kule twitter and you tube ni vile vile tu, kasoro wewe na choko master ndo mko tofauti miandiko yenu inafanana pia upumbavu usio na kikomo.

My take: komora na choko master kingereza hata cha kuombea maji hamjui
 
Yuko wapi huyu
Screenshot_20210301-143519.jpg
 
I still hope its just a bad dream am having and when i wake up atakua anasimamia utiaji sahihi kipande cha Makutopora-Isaka...
Mwamba umeanguka mkuu, mm mwenyewe nilijipa moyo kwamba naota lkn mm nina kawaida moja nikihisi hivyo ili ni proove kwamba sio ndoto huwa nasema "au naota" basi nikisema hilo neno juwa kwamba ni kweli tupu na wala sioti.

Mm katika maisha yangu mpk hapa nilipofika nimewahi kuongea hili neno "hapa naota" nikiwa ndani ya ndoto mara moja tu na sikuweza tena kufanya hivyo mpk leo.
 
Huyu Bwana Mapesa nahisi atakuwa kala ban ya maisha na nahisi keshafungua ID nyingine mana Wakenya wanapenda sana Jf hata ukiwafukuza wanarudi tu, yn mkenya akishaonja Jf humwambii kitu, tatizo lao tukishawakaribisha wanageuza Jf yakwao, yn tunawapa lift wanataka kupiga na honi.

Screenshot_20210327-003942.jpg
 
Wakenya hamna nguvu ya ku argue na mTz, kuna mikenya huwa naikimbiza kunako you tube mpk raha, Wakenya muandiko wenu unafanana, anavyoandika yosef festo, nicxie, teargass, kafrican, mwathadan na Wakenya wa kule twitter and you tube ni vile vile tu, kasoro wewe na choko master ndo mko tofauti miandiko yenu inafanana pia upumbavu usio na kikomo.

My take: komora na choko master kingereza hata cha kuombea maji hamjui
Mimi nathamini sana lugha ya mama hata kuliko kiswahili na kingereza, upo?
Alafu tatizo kinachokuuma zaidi unashangaa jamaa hatujui kingereza lkn tunajibu hoja za kingereza kw kiswahili..

Si utakufa kw pressure mzee baba
We ukitaka reply kw kingereza mpka asubuhi mimi nitakujibu kw kiswahili na wala hutonitatiza kabisa..
Jaribu uone
 
Mwamba umeanguka mkuu, mm mwenyewe nilijipa moyo kwamba naota lkn mm nina kawaida moja nikihisi hivyo ili ni proove kwamba sio ndoto huwa nasema "au naota" basi nikisema hilo neno juwa kwamba ni kweli tupu na wala sioti.

Mm katika maisha yangu mpk hapa nilipofika nimewahi kuongea hili neno "hapa naota" nikiwa ndani ya ndoto mara moja tu na sikuweza tena kufanya hivyo mpk leo.
Mwamba huyo..
Bado yupo kitaani anadunda
FB_IMG_16166929710016558.jpg
 
Back
Top Bottom