Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unadhani yeye kwenda ndio ina uhusiano gani na wewe kuanza kupiga upya???

tena tuwakumbushe,bimkubwa atatka amfunike magufuli,hapo ndio mtaanza kupiga kelele za kumkunbuka magu.
Sisi tunataka bi mkubwa atuondolee wale watu wa Magufuli kama akina Bashe, Bashiru hao siyo watu kabisa..majaliwa waongo waongo kama hao afyekelee mbali ..tunataka VP ambaye atasimama kidete kupiga kazi na siyo umbeya umbeya kama wa ninyi vijana wa lumumba

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wewe endelea kuwa mnyonge baba yenu aliyewafanya wanyonge keshakwenda hivyo. Watu tulikuwa tunaogopa kuwekeza maana utaambiwa wewe mpigaji. Aya kachukue buku saba watoto waende chooni. MaTAGA bana

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hivi kazi ulishapata, Mana tangu enzi za mkwere huna kazi unakuja kumlaumu Magu
 
Sisi tunataka bi mkubwa atuondolee wale watu wa Magufuli kama akina Bashe, Bashiru hao siyo watu kabisa..majaliwa waongo waongo kama hao afyekelee mbali ..tunataka VP ambaye atasimama kidete kupiga kazi na siyo umbeya umbeya kama wa ninyi vijana wa lumumba

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

heri wambea kuliko wezi,walafi na mafisadi.

kumtoa mtu kama bashe,halafu unaweka mtu kama february sio kutafuta ufanisi wa kazi,ni kukamioisha njia za upigaji.

kwa hiyo hilo sahauni,na kwakweli tunawasihi muendelee kulia tu maana hakuna namna.
 
Screenshot_20210326-114617.jpg



My take: hivi roads za Kenya kwnn hazina afya?
 
While Gideon Moi media KTN is busy smearing the name of JPM, here is how Chato town looks 5 years of his leadership






While i hear his father("democratic President") had to be airlifted to his graveyard after his 24 years in rein!

Moi body being taken from chopper











Kabarak roads




After murram repair






Baringo roads Moi constituent
EMM6VfjW4AAFvHf




Tony254

Sio barabara tu,

Nimefatilia safari nzima kutoka Mwanza mpaka Chato yaani nyumba za wananchi pembezoni mwa barabara ni nyumba za hadhi decent homes mpaka vijijini na utunzaji wa mazingira ni wa hali ya juu, Tanzania sisi ni matajiri

Likija suala la social welfare na standards of living Tanzania tupo mbali sana pia Gape kati ya mjini na vijijini, maskini na tajiri ni dogo sana
 
Unashangaa nini ss, hiyo ndiyo Kenya mliyokuwa mnaongopewa kila siku and FYI wengi wao hufa kwa njaa.
Issue sio idadi ya vifo

Issue ni kwamba wanakufa kwa magonjwa ya aibu, cholera ndio inaongoza kuwaua

Cholera inatokana na kula chakula au maji yenye mavi ya binadamu

Ugonjwa mwingine ni utapiamlo/njaa

Wanatia aibu
 
Hivi wewe kichwani kunazo? Kuna tusi Zaid ya matusi huaga unarusha humu kumhusu magu?🙄
Alafu ulivyo na roho mbaya unafikia kutukana mpaka mwili wa mpendwa marehem?unae report kwake Hana huo mda kusikiliza upumbavu wako tuna kuvumilia Sana Ila mda wako unakuja tu. aafu Una bahati Sana Alie kutukana kakuchagulia tusi popo Bawa ulie jaa funza 😃
Kusema yuatoa harafu ni tusi ama ni jambo la wazi, Halafu matusi nayajua sana muulize Lusematic lakini nimeamua kuwapuuza.
 
Back
Top Bottom