Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye lugha ya Kiingereza hamna neno kama "hugest".
wacha upunga, mr London bridge is falling down!
Hugest.PNG
 
Sababu ya kuhirishwa ni nn?ulivyo fala sasa!
Sherehe ya utiaji saini uliahirishwa kwa sababu Tanzania haikuwepo. Hii ni tripartite agreement. All three parties must be present for the agreement to be signed. Tanzania lazima iwepo ili mkataba utiwe saini.
 
Sherehe ya utiaji saini uliahirishwa kwa sababu Tanzania haikuwepo. Hii ni tripartite agreement. All three parties must be present for the agreement to be signed. Tanzania lazima iwepo ili mkataba utiwe saini.
Na sababu ya Tanzania kutokuwepo? mzee hebu deal na yanayowahusu!!

 
Sababu ya kuhirishwa ni kwa sababu ya msiba,wa Taifa,na kuiisha tunaenda kusaini,najua mnaombea huu mradi inawauma na mnaomba usiwe signed,Ila ndo imetoka hiyo.chukua na hii


Sherehe ya utiaji saini uliahirishwa kwa sababu Tanzania haikuwepo. Hii ni tripartite agreement. All three parties must be present for the agreement to be signed. Tanzania lazima iwepo ili mkataba utiwe sasa
 
Sababu ya kuhirishwa ni kwa sababu ya msiba,wa Taifa,na kuiisha tunaenda kusaini,najua mnaombea huu mradi inawauma na mnaomba usiwe signed,Ila ndo imetoka hiyo.chukua na hii


CC: Tony254 nikisemaga nyie mna roho za kichawi unakataa!! Yaani Mseveni Rais wa Uganda kaeleza jana bado unabisha! Uhuru jana kataja mradi wa JNHPP na biashara ya Stima EAC ila mzee mzima bado unabisha! Mbona asitaje SGR?
 
Mambo ya Tanzania au JPM kujiamini imetokea wapi sasa? Tripartite agreement haiwezi kutiwa saini ikiwa parties wote hawapo. Sio kwamba nyinyi mmejiamini kushinda Waganda au Total ni kwamba party moja akikosa kujitokeza basi agreement haitasainiwa. Hata Total akikosa kuja kwenye meza basi agreement haitasainiwa. Hata Uganda asipokuja matokeo ni yale yale. Na wala jambo hili la kuahirisha kutia saini haina uhusiano wowote na kujiamini kwenu au ushujaa wenu.
ni kweli kabisa. The citizen reports the same thing

 
Sio jambo la kawaida kuruka sections kwenye ujenzi wa reli.

Kweli si jambo la kawaida lakini ndiyo tofauti ya genius na watu wengine.

1. Magu alifanya wizara ya ujenzi kwa miaka mingi sana, hivyo alikuwa anajua changamoto zake. Baadhi ya wakandarasi wakipewa mradi mkubwa huwa wanaweza kuchelewesha au kulipua mradi kwasababu ya kupeleka vifaa vichache site ili kupunguza gharama.

2. Kuondoa changamoto hizo akaamua kuuvunja vunja mradi katika vipande vitano vinavyojitegemea ili kuweka ushindani. Na kama mkandarasi akivurunda, basi itaonekana wazi na hivyo mwingine kupewa vipande vilivyobaki. Hakuna mkadarasi atakayependa kuonekana mbabaishaji na hivyo kuwalazimisha kujenga kwa kiwango cha juu.

3. Kipande cha mwisho (Mwanza - Isaka) kilichaguliwa kwanza ili kuwaonesha Museveni/Kagame kuwa alimaanisha kuijenga reli yote. Pia kuwaeleza waachane na mawazo ya kufikiria kujenga reli zao kuelekea Malaba (reli ambayo imeishia Naivasha) wakati teyari kuna reli ya karibu inajengwa.
 
Kweli si jambo la kawaida lakini ndiyo tofauti ya genius na watu wengine.

1. Magu alifanya wizara ya ujenzi kwa miaka mingi sana, hivyo alikuwa anajua changamoto zake. Baadhi ya wakandarasi wakipewa mradi mkubwa huwa waweza kuchelewesha au kulipua mradi kwasababu ya kupeleka vifaa vichache site ili kupunguza gharama.

2. Kuondoa changamoto hizo akaamua kuuvunja vunja mradi katika vipande vitano vinavyojitegemea ili kuweka ushindani. Na kama mkandarasi akivurunda, basi itaonekana wazi na hivyo mwingine kupewa vipande vilivyobaki. Hakuna mkadarasi atakayependa kuonekana mbabaishaji na hivyo kuwalazimisha kujenga kwa kiwango cha juu.

3. Kipande cha mwisho (Mwanza - Isaka) kilichaguliwa kwanza ili kuwaonesha Museveni/Kagame kuwa alimaanisha kuijenga reli yote. Pia kuwaeleza waachane na mawazo ya kufikiria kujenga reli zao kuelekea Malaba (reli ambayo imeishia Naivasha) wakati teyari kuna reli ya karibu inajengwa.
Umeeleza vizuri sana nilikuwa nataka kumgonga na nondo hizihizi! JPM was a stategist! Halafu hakuishia hapo ujenzi wa wagon ferries pia! Hata Uganda imefufua ferry wagon zake nimeona juzi Mv Pamba ya Uganda nayo inafufuliwa! JPM was such an influence!!










 
Back
Top Bottom