Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
. Mradi ulikua uishe huo na kumejengwa vibaya sana ,take a look .usijipe moyo sisi sio size yenu 😂😂😂Watu wengine mnatafutwa kutukanwa ndo mskie...
Nionyeshe 0.0000001% ya hizi renders za Kigamboni new city
![]()
![]()
Mbona huulizie dege eco project, nssf etc ziko kibao over 20 projects unafananisha na ushuzi unaoitwa tatu na konza zaidi ya miaka 13 project hazina hata 1% of the render 🤣🤣Watu wengine mnatafutwa kutukanwa ndo mskie...
Nionyeshe 0.0000001% ya hizi renders za Kigamboni new city
![]()
![]()
hatari sana ni noma wataelewa tuWanakila sababu yakumchukia magufuli[emoji1][emoji1]
View attachment 1727277View attachment 1727278View attachment 1727279
Kuna shule imejengwa na serekali kwa 10b tsh baada ya shule kuanguka ukitaka ushahidi sema nikupe sahani urambe dawa😀😀😀😀Nyie mlitoa mgao wa tani ngapi kagera km nchi
Yani nimecheka sana vile tiss walivowachezea akili 🤣🤣🤣 yani mumeimgizwa wazimawazima mukafkiri magufuli mutampelekesha kiboyaKweli yako, tatizo corona imempa ratiba ya kushtukizia mpka mzee wa wenyewe kapanic hko aliko..
Chezea corona wewe, usipopewa ratiba inakupa upende usipende
Mh hii alert inanisumbua kichwani mkuu.kesho wakuu nimesikia kuwa kuna safisha jiji katikati ya jiji wamachinga waliopembezoni mwa barabara wanapaswa kutoka....
Kama kweli watatolewa hao wamachinga basi nitaanza kuamini rasmi hizi story zinazo prevail mitandaoni kuhusu Chuma.kesho wakuu nimesikia kuwa kuna safisha jiji katikati ya jiji wamachinga waliopembezoni mwa barabara wanapaswa kutoka....
vip mzee uliweka business ilala nini..?Mh hii alert inanisumbua kichwani mkuu.
amna siunajua ilala ishakuwa jiji,,,ni mipango tu inasukwaKama kweli watatolewa hao wamachinga basi nitaanza kuamini rasmi hizi story zinazo prevail mitandaoni kuhusu Chuma.
electrical SGR connection to Dar port explained
ETCS Level 2
ETCS Level 2 is a radio based system which displays signalling and movement authorities in the cab. The train is continuously sending data to the Radio Block Centre (RBC) to report its exact position and direction. Eurobalises are used as passive positioning beacons. Trains refine their position with additional sensors such as accelerometers, odometers or radar.
View attachment 1727320
Extended level 1, with ETCS data transmission continuous by GSM-R. On the trackside a RBC controls all train movements in the covered area.
Daahh poa poa mana hawa watu wa mitandaoni kiukweli wkt mwingine wananivuruga sn yn wananiondoa kwenye mood, huwa najisikia vby sn vimaneno maneno vyao vinaniuma kweli kweli sema nakaza tu mkuu.amna siunajua ilala ishakuwa jiji,,,ni mipango tu inasukwa
Sio tu ya kwanza Tz bali yaweza kuwa ya kwanza EA.