Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ewhd4ZEXIAA0iRS





MY TAKE
Ni kama Ujenzi wa jengo la ofisi upo mbioni kuanza maana naona kuna site pembeni mwa electrical SGR terminal ipo cleared!

Kila terminal ikifunguliwa inaonekana ya kipekee
Lile jengo la office pale Dar Terminal ujenzi unaanza lini? maana ujenzi wa TRC Headquarters Dodoma umeanza!
 
Chuma hicho kimewanyoosha wakunya hadi hawana hamu naye,kila wakipambana naye anaibuka mshindi,wakenya wakaona isiwe case wakaamua kuomba dua mzee afe,lakini wapiii jiwe hiloo

Jamani wakenya wenzangu tutafute waganga na wachawi tumroge huyu mzee afe😀😀😁😁
 
Eurobond ni nafuu kuliko commercial loan ,muwe mnafuatilia bajeti hata juzi Finance Minister Dr Mpango kaeleza kwamba wamekopa mikopo ya kibiashara ku finance reli

Sasa si bora watafute Eurobond ina unafuu kidogo japo ina mlolongo
Ukipata sehem mpango anasema kakopa commercial loan kwa ajili ya reli nitag mm nasubiria😂😂😂😂😂😂
 
Naona Malazy mmeanza kukamatwa na polisi kwa kueneza "uongo" mitandaoni.
 
Kwanza Kenya haijawahi kushindwa kulipa deni katika historia yake. Pili Kenya ina good credit ratings.
Hata Burundi haijawahi shindwa kulipa deni, hakuna nchi yoyote iliyowahi kushindwa kulipa deni. Ila kuna kiwango cha deni kikizidi uwezo wako wa kulipa ndani ya kipindi mlichokubaliana na kuomba kuongezewa muda wa kulipa, ni dalili kwamba uwezo wako wa kulipa deni kwa wakati ni mdogo
 
Naona Malazy mmeanza kukamatwa na polisi kwa kueneza "uongo" mitandaoni.

Tanzania si failed state,huku kuna sheria..uzushi ni kosa kisheria,ukipatikana na hatia,adhabu yake ni miaka 4 jela na faini isiyopungua tsh million 2,viboko tisa,vinne unapoingia na viboko vitano siku ya kutoka jela..kwa mujibu wa sheria ya mwaka 1993 kifungu cha 5(a)
 
Eurobond ni nafuu kuliko commercial loan ,muwe mnafuatilia bajeti hata juzi Finance Minister Dr Mpango kaeleza kwamba wamekopa mikopo ya kibiashara ku finance reli

Sasa si bora watafute Eurobond ina unafuu kidogo japo ina mlolongo
Watanzania wote wangekua na mentality kama yako hata tusingepata uhuru. Kwahiyo mpaka sasa hujajua huo unafuu tunakuja kuulipa wapi? Wewe ndio wale watu wa zali la mentali
 
KENYA RANKED 95 IN DEMOCRACY INDEX.
• It beat the neighbouring Uganda by three points while Zambia and Sierra Leone shared position 99 in the ranking by the Economist Intelligence Unit.

• Senegal, Malawi, Lesotho, Ghana, South Africa, and Mauritius are among the African states that has beaten Nairobi in the rankings.

by MOSES ODHIAMBO
Political Writer
News
15 March 2021 - 11:49

Kenya has been ranked position 95 globally and number 13 in Sub-Saharan Africa in the Democracy Index 2020 ratings, scoring lower than its neighbor Tanzania rated at position 93.

It beat the neighbouring Uganda by three points while Zambia and Sierra Leone shared position 99 in the ranking by the Economist Intelligence Unit.

Senegal, Malawi, Lesotho, Ghana, South Africa, and Mauritius are among the African states that have beaten Nairobi in the rankings.


Norway, Iceland, Sweden, New Zealand, and Canada were rated in the top five slot in the ranking that factored how the nations handle elections; functioning of government; political participation; political culture; and civil liberties.

Kenya was pooled in the category of countries with hybrid regimes which EIU describes as those where elections have substantial irregularities that prevent them from being free and fair.

Hybrid regimes also apply where government pressure on opposition parties and candidates is common, with serious weaknesses in political culture, functioning of government and political participation.

The regimes are also characterized by widespread corruption and the rule of law is weak; and with a weak civil society.

EIU says in such countries typically, there is harassment of and pressure on journalists; and the judiciary is not independent.

Kenya also beat Benin, Gambia, Ivory Coast, Nigeria, Mali, Mauritania, Burkina Faso, Angola, Gabon, Mozambique, and Ethiopia in that order in the just released rankings.

The country also outdid Niger, Zimbabwe, Congo (Brazzaville), Rwanda, Comoros, Eswatini, Guinea, Togo, Cameroon, Djibouti, and Guinea Bissau.


DRC was the worst performer in the ratings followed by Central Africa Republic, Chad, Equatorial Guinea, Burundi, and Eritrea.

Kenya, in a scale of 10, scored three point five on its electoral processes and pluralism; 5.36 on functioning of government; 6.67 on political participation; 5.63 on political culture, and 4.12 on civil liberties.

The EIU said the heavy-handedness in places like Kenya reached new highs in areas where curfews were ordered. “The measures stripped citizens of their freedom to assemble and travel, causing severe interruption to livelihoods,” the team said in the report released on Monday.
In Summary

• It beat the neighbouring Uganda by three points while Zambia and Sierra Leone shared position 99 in the ranking by the Economist Intelligence Unit.

• Senegal, Malawi, Lesotho, Ghana, South Africa, and Mauritius are among the African states that has beaten Nairobi in the rankings.

by MOSES ODHIAMBOPolitical Writer

Kenya has been ranked position 95 globally and number 13 in Sub-Saharan Africa in the Democracy Index 2020 ratings, scoring lower than its neighbor Tanzania rated at position 93.

It beat the neighbouring Uganda by three points while Zambia and Sierra Leone shared position 99 in the ranking by the Economist Intelligence Unit.

Senegal, Malawi, Lesotho, Ghana, South Africa, and Mauritius are among the African states that have beaten Nairobi in the rankings.

Norway, Iceland, Sweden, New Zealand, and Canada were rated in the top five slot in the ranking that factored how the nations handle elections; functioning of government; political participation; political culture; and civil liberties.

Kenya was pooled in the category of countries with hybrid regimes which EIU describes as those where elections have substantial irregularities that prevent them from being free and fair.

Hybrid regimes also apply where government pressure on opposition parties and candidates is common, with serious weaknesses in political culture, functioning of government and political participation.

The regimes are also characterized by widespread corruption and the rule of law is weak; and with a weak civil society.

EIU says in such countries typically, there is harassment of and pressure on journalists; and the judiciary is not independent.

Kenya also beat Benin, Gambia, Ivory Coast, Nigeria, Mali, Mauritania, Burkina Faso, Angola, Gabon, Mozambique, and Ethiopia in that order in the just released rankings.

The country also outdid Niger, Zimbabwe, Congo (Brazzaville), Rwanda, Comoros, Eswatini, Guinea, Togo, Cameroon, Djibouti, and Guinea Bissau.

DRC was the worst performer in the ratings followed by Central Africa Republic, Chad, Equatorial Guinea, Burundi, and Eritrea.

Kenya, in a scale of 10, scored three point five on its electoral processes and pluralism; 5.36 on functioning of government; 6.67 on political participation; 5.63 on political culture, and 4.12 on civil liberties.

The EIU said the heavy-handedness in places like Kenya reached new highs in areas where curfews were ordered. “The measures stripped citizens of their freedom to assemble and travel, causing severe interruption to livelihoods,” the team said in the report released on Monday.



WAZEE WA DEMOCRACY MPOOO
Nchi zilizopo top 10 sub-saharan mfano Senegal, Malawi, Lesotho, Ghana, South Africa, and Mauritius zote hizi ndio zile nchi ambazo mzungu akisema geuka wanatii amri, bong'oa hawapingi
 
Eurobond ni nafuu kuliko commercial loan ,muwe mnafuatilia bajeti hata juzi Finance Minister Dr Mpango kaeleza kwamba wamekopa mikopo ya kibiashara ku finance reli

Sasa si bora watafute Eurobond ina unafuu kidogo japo ina mlolongo

Unajua terms za commercial loans za Standard Bank walizopata Tz kwa phase 2 ya Reli .. ?? Sasa kama Eurobonds are better mbona kenya na zambia wanahangaika kuliko hata Tz ..
 
Back
Top Bottom