mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
Hadi in 20yrs hawawezi kuzipita Ethiopia na kenya in this region let alone africa ikifika kwa barabara.....ni wishful thinkingHamuwezi kuwafikia SA likija kwenye swala la urefu wa paved roads.
Hadi in 20yrs hawawezi kuzipita Ethiopia na kenya in this region let alone africa ikifika kwa barabara.....ni wishful thinkingHamuwezi kuwafikia SA likija kwenye swala la urefu wa paved roads.
Tony254 nimesema nipo hapa Nairobi.
Kama hutaki kunitafuta tuyajenge nimepanga kuanza kutupia picha za kuonesha kunguni wa kwenye matatu zenyu.
Ninata unipatie US$ 10,000 niache kutupi.
Nitafuta tuyajenge kabla sijaanza kuharibu siku yenyu.



Hiyo ya kufinyana siyo ishu, miji yote mikubwa duniani abiria wanabanana.Wazungu wanafanya kazi nzuri kuonyesha mapungufu ya Tanzania. Jana mmoja alionyesha jinsi mnafinyana kwenye mabasi kama nyumbu. Leo mwingine anaonyesha jinsi train zenu zina upungufu.
Kenya got 9K paved Roads, tz Got Over 13k and others are under construction..Hadi in 20yrs hawawezi kuzipita Ethiopia na kenya in this region let alone africa ikifika kwa barabara.....ni wishful thinking
Kwan SA wana Nini mpaka tusiwafikieHamuwezi kuwafikia SA likija kwenye swala la urefu wa paved roads.
OverKenya got 9K paved Roads, tz Got Over 13k and others are under construction..
kimba znagonga chupi 😂😂😂😂😂😂hawajui la kufanya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tony254 nimesema nipo hapa Nairobi.
Kama hutaki kunitafuta tuyajenge nimepanga kuanza kutupia picha za kuonesha kunguni wa kwenye matatu zenyu.
Ninata unipatie US$ 10,000 niache kutupia.
Nitafuta tuyajenge kabla sijaanza kuharibu siku yenyu.
Hapo hakuna bus terminal

Wewe weka picha. Hamna shida.Tony254 nimesema nipo hapa Nairobi.
Kama hutaki kunitafuta tuyajenge nimepanga kuanza kutupia picha za kuonesha kunguni wa kwenye matatu zenyu.
Ninata unipatie US$ 10,000 niache kutupia.
Nitafute tuyajenge kabla sijaanza kuharibu siku yenyu.
Hapo ni stendi kw nje kwhyo watu lazima wawe wengi, lkn huwezi kuta upuuzi wa kuingia na madirishani huku ndani watu wakinukushana vikwapa..
Amboseli kweli kiboko kw kuchukua pichaKisa umeskia kilimanjaro tayar mavi yanagonga chupii![]()