Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

at mtu aknambia swala la kodi simwelewi kabisa!!!

nnachozungumza ni mazingira kwa mgeni ambae hajakidhi hadhi ya kua investor yani wenye mitaji chini ya tsh100ml iwe rahisi kwao kufungua biashara myb tunaeza kutengeneza mfumo wao tofauti wa wao kufanya kazi/biashara bila kuathìri sera yetu ya uhamiaji right?

Kaka sidhani kama wanastahili hiyo special status unless kuna kitu chanya wamekiingiza kwenye jamii yetu lakini sio kwa kigezo wao ni weusi. Ni wageni kama wageni wengine wawe treated sawa tu. Kama wahindi, wazungu na wakenya wamewekeza sana hapa na hawana special status zaidi ya kupewa eneo la uwekezaji kwanini hao wapewe uspecial? Kumbuka hatufaidiki chochote na rangi ya ngozi yao.
Hiyo ya kutengeneza mazingira rahisi kwa wageni kuishi nchini kutokana na manyanyaso ya sehemu wanayotoka, Tanzania imeshafanya sana. Nyerere aliwakaribisha wapalestina kuishi na kufanya biashara Tanzania kutokana na manyanyaso ya kule Gaza. Tena nafikiri walikuwa wanaingiza bidhaa bila ushuru, jamani msichukulie poa systemic racism.
 
haya ndiyo matumizi mabaya ya fedha,,,,mnajenga vitu for nothing huko vichakani hakuna haja ya kujenga huo utopolo......hakuna ubize wowote kupo kupo tu
Why would you say that, do you suggest the road shouldn't have been expanded or?
 
Mzungu Afrika anachukulia sehemu duni tu lakini bado amewekeza tofauti na African Americans ambao wengi wameanza kuja hii miaka 2 tu iliyopita na wanakuja kukwepa ubaguzi wa marekani ila lengo kuu sio uwekezaji. Kuna mmoja anaitwa Dynast ana channel yake inaitwa search for uhuru anademand citizenship na ardhi kwa nchi ambazo hazitoi uraia kirahisi kana kwamba tuna wajibu wa kuwapa huo uraia na kigezo chake wao ni weusi walichukuliwa kama watumwa.

Hawa watu baadhi wana malengo mazuri lakini ni wa kwenda nao kwa tahadhari kwa sababu jamii yao huko marekani imeharibika kupitiliza(pitia documentaries za chicago na detroit uone).

Kingine Richard mabala amebadili uraia na kuwa mtanzania baada ya kuishi muda mrefu na kuingiliana na wazawa hivyo basi hata hawa wamarekani kama wanakupenda sana huku sioni shida wao kufanya kama alivyofanya mabala sio hizi drama zao wanazoleta sasa hivi.
Huyu Richard Mabala ndiye yule muandishi wa vitabu? Alikuwa raia wa wapi kabla ya kupata uraia wa Tanzania?
 
Why would you say that, do you suggest the road shouldn't have been expanded or?
mmepoteza pesa kuna namna nyingi ya kuexpand road,,,,hiyo sehemu haikidhi vigezo kuwa hivyo,,,,,,,mnafanya vitu kwa kurash rash for nothing,,,

kwani mngetandika mkeka wa kawaida na kuweka hata junction mngepungukiwa nini,.?..japo kuwa hiyo sehemu hata junction yenyewe inavyoonekana haipaswi kuwepo...

matumizi mabaya ya rasilimali pesa
 
mmepoteza pesa kuna namna nyingi ya kuexpand road,,,,hiyo sehemu haikidhi vigezo kuwa hivyo,,,,,,,mnafanya vitu kwa kurash rash for nothing,,,

kwani mngetandika mkeka wa kawaida na kuweka hata junction mngepungukiwa nini,.?..japo kuwa hiyo sehemu hata junction yenyewe inavyoonekana haipaswi kuwepo...

matumizi mabaya ya rasilimali pesa
Jamaa huwa wanachekesha sana, huwa wanatengeneza miundombinu mengine ambayo ktk sehemu ilipo haina tija ilimradi tu nao waonekane wanacho, utakuta wanajenga tunnel sehemu ambayo wala hakuna ulazima wa tunnel.

Elimu imeshindwa kumsaidia Mkenya.
 
Jamaa huwa wanachekesha sana, huwa wanatengeneza miundombinu mengine ambayo ktk sehemu ilipo haina tija ilimradi tu nao waonekane wanacho, utakuta wanajenga tunnel sehemu ambayo wala hakuna ulazima wa tunnel.

Elimu imeshindwa kumsaidia Mkenya.
tuendelee kuwaenjoy mkuu,,,,,

wakenya ni vituko vya dunia wazee wa local structure
 
Jamaa huwa wanachekesha sana, huwa wanatengeneza miundombinu mengine ambayo ktk sehemu ilipo haina tija ilimradi tu nao waonekane wanacho, utakuta wanajenga tunnel sehemu ambayo wala hakuna ulazima wa tunnel.

Elimu imeshindwa kumsaidia Mkenya.
Aliskika meffi mmoja kutoka tandale.
 
hakuna chuki hapa,,

hebu niambie hiyo sehemu inachangamoto gani ya maana ambayo inasababisha mjenge hivyo....?

hebu nielekezeze comrad
Burden of proof lies with you, wewe ndo ulisema hiyo project haina maana, sasa with evidence back up your claim. Na kama unamaswali zaidi consult google hapa hatufanyi spoon feeding.
 
Kweli ni mzalendo aisee yn kaukana uraia wa Uingereza na kuamua kuwa mTz inapendeza sana.
Tanzania ni nchi ya kipekee sana hapa duniani, asikuambie mtu.
Ila kuna kitu huwa najiuliza inakuwaje mzungu anaitwa Mabala, hili jina limekaa kibantu bantu hili.
Hilo jina alijipa mwenyewe.
 
Back
Top Bottom