Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka sidhani kama wanastahili hiyo special status unless kuna kitu chanya wamekiingiza kwenye jamii yetu lakini sio kwa kigezo wao ni weusi. Ni wageni kama wageni wengine wawe treated sawa tu. Kama wahindi, wazungu na wakenya wamewekeza sana hapa na hawana special status zaidi ya kupewa eneo la uwekezaji kwanini hao wapewe uspecial? Kumbuka hatufaidiki chochote na rangi ya ngozi yao.

Kwa anaependa afate taratibu abadili uraia awe mbongo tu atapata privileges za mtanzania kwenye ewekezaji ingawa najua hawawezi kufanya hili.
Ni kweli kaka biashara kwanza ndo mengine yanafuata sisi kwanza halafu wengine wafuate,sema si kitu cha ajabu kupewa kipaumbele we ukienda marekani na shida zako na mzungu katokea ufaransa unafikiri nani atapewa nafasi ya kwanza?!,Hawa jamaa wanakuja na positive mind ya kuwekeza Africa ijapokuwa miaka mingi imepita ila asili yao ni huku... kwa namna moja ama nyingine wanapaita motherland,we unafikiri mzungu anapachukulia hivyo!!!kwa kashikashi wanazopata kule wangetamani wahamishe kila kitu waje navyo huku kwny amani na utu,sema ukweli uko wazi waafrika walioko US hawaivi ile na African Americans, attitude na kugombania mkate ni janga!Hampendani.Rudini kwenu.
 
The next station is................
IMG_20210313_125056.jpg
 
Kweli lakini urahisi wa kufungua biashara hata sisi wazawa tuna hiyo changamoto hivyo mfumo mzima wa biashara na kodi inabidi upitiwe tena.
at mtu aknambia swala la kodi simwelewi kabisa!!!

nnachozungumza ni mazingira kwa mgeni ambae hajakidhi hadhi ya kua investor yani wenye mitaji chini ya tsh100ml iwe rahisi kwao kufungua biashara myb tunaeza kutengeneza mfumo wao tofauti wa wao kufanya kazi/biashara bila kuathìri sera yetu ya uhamiaji right?
 
Ni kweli kaka biashara kwanza ndo mengine yanafuata sisi kwanza halafu wengine wafuate,sema si kitu cha ajabu kupewa kipaumbele we ukienda marekani na shida zako na mzungu katokea ufaransa unafikiri nani atapewa nafasi ya kwanza?!,Hawa jamaa wanakuja na positive mind ya kuwekeza Africa ijapokuwa miaka mingi imepita ila asili yao ni huku... kwa namna moja ama nyingine wanapaita motherland,we unafikiri mzungu anapachukulia hivyo!!!kwa kashikashi wanazopata kule wangetamani wahamishe kila kitu waje navyo huku kwny amani na utu,sema ukweli uko wazi waafrika walioko US hawaivi ile na African Americans, attitude na kugombania mkate ni janga!Hampendani.Rudini kwenu.
Mzungu Afrika anachukulia sehemu duni tu lakini bado amewekeza tofauti na African Americans ambao wengi wameanza kuja hii miaka 2 tu iliyopita na wanakuja kukwepa ubaguzi wa marekani ila lengo kuu sio uwekezaji. Kuna mmoja anaitwa Dynast ana channel yake inaitwa search for uhuru anademand citizenship na ardhi kwa nchi ambazo hazitoi uraia kirahisi kana kwamba tuna wajibu wa kuwapa huo uraia na kigezo chake wao ni weusi walichukuliwa kama watumwa.

Hawa watu baadhi wana malengo mazuri lakini ni wa kwenda nao kwa tahadhari kwa sababu jamii yao huko marekani imeharibika kupitiliza(pitia documentaries za chicago na detroit uone).

Kingine Richard mabala amebadili uraia na kuwa mtanzania baada ya kuishi muda mrefu na kuingiliana na wazawa hivyo basi hata hawa wamarekani kama wanakupenda sana huku sioni shida wao kufanya kama alivyofanya mabala sio hizi drama zao wanazoleta sasa hivi.
 
at mtu aknambia swala la kodi simwelewi kabisa!!!

nnachozungumza ni mazingira kwa mgeni ambae hajakidhi hadhi ya kua investor yani wenye mitaji chini ya tsh100ml iwe rahisi kwao kufungua biashara myb tunaeza kutengeneza mfumo wao tofauti wa wao kufanya kazi/biashara bila kuathìri sera yetu ya uhamiaji right?
Kaka swala la kodi unaweza unaweza usilielewe lakini binafsi nimekutana na hizo shida za kodi.
 
That's expected for a city of 6m people, NYC subway is more crowded than that.
That is simply not true. NY subway is not crowded like that. Show me evidence for that. There are many videos online of NY subway and they are not crowded like that.
 
Back
Top Bottom