Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20210310-162544_2.jpg
Screenshot_20210310-162518.png
. Vs
Screenshot_20210310-162724_1.jpg
Screenshot_20210310-162709.png
hiyo ndio level ya Burnaby na pia anapigwa mbali sana.. kima wewe
 
Khee!!
View nyingi haimaanishi km ngoma yako au album eti imeuza sana kuliko ya mwenzio..

Tatizo domo anatumia nguvu nyingi kuliko maelezo ndio manake wale wamarekani wakaenda kumla hela za collabo alafu hawa post ngoma zao..
Kenya tumekubali mziki wetu upo chini lkn tz mnalazimisha kujiweka sehemu ambayo sio size yenu na hilo ndio tatizo huku mkisahau bila sisi kuwa support kimziki basi hamuendi popote
 
Khee!!
View nyingi haimaanishi km ngoma yako au album eti imeuza sana kuliko ya mwenzio..

Tatizo domo anatumia nguvu nyingi kuliko maelezo ndio manake wale wamarekani wakaenda kumla hela za collabo alafu hawa post ngoma zao..
Kenya tumekubali mziki wetu upo chini lkn tz mnalazimisha kujiweka sehemu ambayo sio size yenu na hilo ndio tatizo huku mkisahau bila sisi kuwa support kimziki basi hamuendi popote
Mbn hamuwasapot watu wenu ili nao wa hit duniani km mnaukubali mziki wenu?
 
Khee!!
View nyingi haimaanishi km ngoma yako au album eti imeuza sana kuliko ya mwenzio..

Tatizo domo anatumia nguvu nyingi kuliko maelezo ndio manake wale wamarekani wakaenda kumla hela za collabo alafu hawa post ngoma zao..
Kenya tumekubali mziki wetu upo chini lkn tz mnalazimisha kujiweka sehemu ambayo sio size yenu na hilo ndio tatizo huku mkisahau bila sisi kuwa support kimziki basi hamuendi popote
Wewe sio mzima kichwani uende kwenye sherehe kwa jilani kwako kuna msiba
 
Kwenye twitter hamtukaribii. Tuseme ukweli.
Bro hiyo ni kwasababu insta na YouTube ni ghali sana en u can't afford that's mnaishia uko uko kwenye kitonga .. world Superstars and celebrities sehem yao ya kujidai ni insta mzee . Kwahyo ukisema mtu kuwa maarufu au kutokua maarufu mtandaoni ujue moja kwa moja unazungumzia insta
 
..we vipi wewe . Kwenye masuala ya mtandaoni heb mtuache kidogo.. sio sio level .bongo land is home trends . Wala hatuvijui wala kufuatilia vitu vyenu
Upende usipende, wakenya ndio wamemtrendisha meko tokea jana
Sasa wewe ukitaka lia
 
Back
Top Bottom