ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kenyatta alikudanganya hvo 🤣🤣🤣 hii ni sumbawanga
Kwani nairobi imepangika na hzo slums zilitoka wapi au zilishushwa kutoka mbinguni
Kenyatta alikudanganya hvo 🤣🤣🤣 hii ni sumbawanga
Kwenye hii list hakuna soweto slums huko kasarani lakini kwa ground ni bigger than mathare and kibera combined
Yaani nairobi huwezi hesabu slums zote ukazimaliza hata upewe mwaka mzima
Kitu cha soweto hicho dadeq
View attachment 1710504






Muulize konza gani?? Konza ina miaka zaidi ya 10 mwambie akuoneshe hata theluthi ya render ambayo wamejenga🤣🤣🤣🤣Nyie ukitoa Konza upi mwingine ambao ni planned?
Sure mkuu huwa nashangaa hawa jamaa mbn wanaitaja taja Kibera wakati wana maslums mengine makubwa hayana mfano, kwakweli sisi Watz tujivunie aisee ukiona dunia nzima mnatambulika kwa kitu fulani ujue nyinyi ni extra ordinary.Kibera iko overrated mnoo!
Hiyo mathare ni balaa![]()
Kitu kmetulia kinyama ....Kenyatta alikudanganya hvohii ni sumbawanga
Kwani nairobi imepangika na hzo slums zilitoka wapi au zilishushwa kutoka mbinguni
View attachment 1710515View attachment 1710516
daaah hiki kitaa kimesizi unaweza dhani ni kambi za mapusha wametengewa kamji kao kumbe ni wananchi wanaolipa kodiShithole nairobi the mother of slums and lowlife
View attachment 1710478View attachment 1710479View attachment 1710480
daaah hiki kitaa kimesizi unaweza dhani ni kambi za mapusha wametengewa kamji kao kumbe ni wananchi wanaolipa kodi




😅😅😅😅😅daaah hiki kitaa kimesizi unaweza dhani ni kambi za mapusha wametengewa kamji kao kumbe ni wananchi wanaolipa kodi
Kwa mfano picha kama hii utakuta wanaipiga upande upande kuonesha hivyo vi apartments hapo ili ionekane kweli wako vzr kumbe mambo ni hovyo kabisa, ss niambie ni sehemu gani Tz iko hiviHiyo picha ya kwanza
Ndio Ile huwa wanapiga picha vipande vipande ili kuficha hiyo slum pembeni!



Hapa kuna slum gani ama upo mweupe kichwani hata hujui slum ni nini?
😅😅😅 Eneo la watu almost 1 million halina passable roads Halafu mpunbavu mmoja anasema hako kaeneo kadogo tu cha Dar hakana road reserveHapo kwenye "Mathare is the oldest slum in Nairobi"![]()
Zoom tu taratibu kwa raha zako ujioneeHapa kuna slum gani ama upo mweupe kichwani hata hujui slum ni nini?
Eti haoni huo uharo ulio backgroundZoom tu taratibu kwa raha zako ujionee




😅😅😅 Macho ya kuona huu mtapakao wa slums hapa hana Ila kupima road reserves anawezaEti haoni huo uharo ulio background![]()
If Kenya is a shithole, Tanzania is the shit itself that passes through that holeHii ni definitions ya nini?
Kenya nzima ni shithole kuanzia nairobi mpaka mikoani
View attachment 1710464View attachment 1710465View attachment 1710466View attachment 1710467View attachment 1710468

, na hapa ni undeniable fact.Kenya ndio nchi pekee duniani kwa sasa inaongoza kwa ukuaji wa slumsIf Kenya is a shithole, Tanzania is the shit itself that passes through that hole, na hapa ni undeniable fact.
My friend You have no knowledge of of city planning🙂Mji ambao uko well planned tunaujua kwa kuangalia aerial photograph. Huwezi kulinganisha Washington DC
View attachment 1710436
Au Konza city ambayo bado inajengwa
View attachment 1710437View attachment 1710438
Na huu utopolo wa Dar hapa chini ambapo hata nafasi ya kufanya expansion ya barabara hakuna. Manyumba yamefinyana kama nzige.
View attachment 1710439
Barabara zenyewe konde utadhani sindano halafu zimepinda kishenzi utadhani nyoka, sio straight. Halafu ukitaka kupanua barabara itabidi ubomoe nyumba za watu.
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo picha ya kwanza
Ndio Ile huwa wanapiga picha vipande vipande ili kuficha hiyo slum pembeni!
Sio lazima inyooke lakini cities nyingi mashuhuri hususan za Marekani zina barabara zilizonyooka. Kwa hivyo hizo barabara zenu mbovu, zisizokuwa na lami, konde na zilizopinda kishenzi ndio standard ya dunia nzima? Mbona the best cities kama akina London, Riyadh, Dubai, New York zina barabara ambazo zimenyooka au hata kama zimepinda zimepinda kidogo tu? Halafu barabara inastahili kuwa pana sio hilo barabara lenu konde hata pikipiki itapata tatizo kupita.Wewe bwege nani kakuambia barabara lazma ziwe zimenyooka?