Unajua maana ya old town?lishamba lya Dar
, mji ulijengwa kabla ya babu ya mababu zako na Vasco Da Gama..,na tume preserve huo muundo, Kiswahili mingi ni laana kweli
Mombasa is Dar n Dar is Mombasa period, lakini Mombasa iko nafuu kidogo kwa Dar
.,
Ukweli usikutese jioni hii., move on...
na kujidanganya unapata nafuu na usiku mmoja tu.Ukweli usikutese jioni hii., move on...
Kuna tofauti ya old town na kwingine., unajua maana ya neno hostorical heritage?., a section preserved., in the first clip hiyo old town is not covered., Mombasa ilivyo kwa sasa.., mwenye wivu ajinyongeWew unafurahi kuita old town uchafu huo mwisho utawaponda jinga kabisa
That ugly thing from outsideKabla ya Nairobi Terminus kushindana na The mighty Tanzanite sgr station wanatakiwa wapambane na hii kwnz.
Yani tunaendelea kuvunja rekodi zetu wenyewe kila uchwao, the best stations in Africa nowadays are found in Tanzania whether you like it or not
![]()
inakupa orgasm


, ndani walijaribu lakini, afadhali Mombasa Terminus mara mia nje na ndani kote ni 

., ngojeni train ya umeme tu


., eti the mighty what?? 😂 😂 😂 Mbezi kwa Yusufu wanaingia kushoto Kuna balabala (round about inayoenda majohe)Kuingilia ndio inakua wap
Kabla ya Nairobi Terminus kushindana na The mighty Tanzanite sgr station wanatakiwa wapambane na hii kwnz.
Yani tunaendelea kuvunja rekodi zetu wenyewe kila uchwao, the best stations in Africa nowadays are found in Tanzania whether you like it or not
![]()




Mlandizi na dar wapi na wapi?🙂huko ni pwani pwani ya Tanzania nikubwa umeshangaa?
Ni rami mkuu, hapo nilipokosea tiari Kuna mkenya kashajinyea hukoReli?


Mkuu yosef wewe reference zako ni Mmawia na Kennedy?


Na jafo aliependekeza iitwe JPM nahisi mshua kachomoaKwnn wasingeiita vile vile tu Mbezi bus terminal?
Not really kaka, I know Dar, mie najaribu tu ku bust the bubble ya vilaza humu wanao danganya watu kuhusu Tanzania., facts tu ndio dawa., ila sina ubaya na mtu, ni debate tu..,Mkuu yosef wewe reference zako ni Mmawia na Kennedy?![]()
looks like a school, an academy hivi, tazama madirisha!😂😂😂, primary one to form six 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Dar metro polisMlandizi na dar wapi na wapi?huko ni pwani pwani ya Tanzania nikubwa umeshangaa?


hi ni leo, angalieni wenyew mazingira yalivyo machafu
Dar hapo utakua umeenda mbali sana, maisha ya vitongoji kama hayo yamezunguka mji., kabla ufike pale utakua umejionea a 21st century Tanzanian city..,😂😂😂😂Dar metro polis
Mlandizi ni vitongoji vya dar
"Dar electrical sgr station"Ila kama naona ranking oder zipo
- Mbezi Luis Bus Station
- Dar electrical SGR Terminal
- Dodoma Bus Station
- Nairobi diesel SGR Terminus
Soon...
CC: Tony254
- Mbezi Luis Bus Station
- Dar electrical SGR Terminal
- Dodoma Bus Station
- Mwanza Bus Station
- Nairobi diesel SGR Terminus


