Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daresalam metropolis MLandizi
images.jpeg-18.jpg
images.jpeg-17.jpg
images.jpeg-16.jpg
 
Tuletee za pugu mzee baba
Yani dar imezungujwa na vijiji tu jamani
Kwani huna google nikuletee kama wewe nani unahangaika nm huna google hata CBD yenu ya mombasa hamujui imezungukwa na ushuzi😆😆😆😆😆
 
Kama huelewi mambo ya uchumi funga mdomo.
Sasa kuna utofauti hupi kati ya Kenya na Uganda? Ukitoa mji mkuu wa Nairobi na Kampala ambao ni kweli Kampala bado lkn hio haiondoi ukweli halisi ya kwamba Uganda iko mbele ya Kenya tukiangalia inclusive economy idea.

Waganda huwa hawana njaa kama ambavyo Wakenya wako, na kama tutaangalia miji ukitoa Kampala na Nairobi au tutoe na Mombasa, inabaki kuwa Kenya na Uganda hazina utofauti mkubwa wa kimaendeleo japouwa linapokuja suala la uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda wapo mbali ya Kenya.
 
Back
Top Bottom