Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu mzigo akipatiwa msemaji Mh. Abbas akawapatia vijana wa town kama wale wa Serengeti festival..kina Diamond et al.. wafanyie video shots italeta impact kwenye mauzo.

Kwa uzalendo tu kama mnyama na Visit Tanzania.

aanze Magu kutembelea na kusema wamtengenezee pairs kama tano hiv nyeusi afu awe anazivaa kama anavyovaa zile travota zake
 
Na nyie mliojengo mkavunja baada ya wiki tuwaambieje

ipi? ya sgr??
hio inamcost contractor mwenyewe .. gharama ya mradi ni ileile.. nyie serikali ndo imepata hasara.. na kuna watu wamekula cha juu kama kawaida
 
That ugly thing from outsideinakupa orgasm , ndani walijaribu lakini, afadhali Mombasa Terminus mara mia nje na ndani kote ni ., ngojeni train ya umeme tu., eti the mighty what??
View attachment 1706429
View attachment 1706428
View attachment 1706430
View attachment 1706432
View attachment 1706431
JamiiForums-1429958501.jpg
JamiiForums-409813668.jpg
Screenshot_20210219-185918.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

This one makes the whole of Dar to be a slum, save 10% tu around CBD areas, kwingine kwote ni vitongoji😂😂😂, kwa vile Kenya huu mtaa bado ni categorized as ghetto, yaani slum😂😂😂😂😂
1613750188065.png

1613750359787.png

1613750211829.png

1613750244778.png

1613750321141.png

Sections of pipeline, view from jogoo road.,
1613750393746.png
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Poor planning mkuu kuna gorofa moja lipo maeneo ya lower kabete limejengwa karibia na mto kuna mda lilikukuwa limepigwa Alama ya X maana ilitakiwa ibomolewe Ila juzi nimemuuliza jamaa mmoja tunafanya naye kazi akaniambia linakaribia kukumilika mmiliki alitoa TKK kwa hiyo Alama za X hazipo tena ,sijui wapangaji wa humo itakuaje pindi mvua zitazidi🙄
 
😂 😂 😂 😂 😂 history., even NexGen mall was to be demolished but the govt adjusted the design at the areas, no demolisions whatsoever., only the bridge at GM might be removed and reassembled elsewhere ju ni metals screwed together.,


The bridges are intact as seen in the clip.,

History wakati chief engineer ame confirm kuwa zoezi la ubomoaji litaendelea Ili Ku pave way for Nairobi express way🙂 ?
 
Unapata wapi ujasiri wa kuzungumza haya? Au unajisahaulisha View attachment 1706521
80% ya infrastructures/buildings in most of these areas are far better than 90% ya residential za Dar😂😂😂😂😂😂 The best 007 wewe nataka leo ulete google earth photos ya hizi eneo., Kibera mumeipenda sana hehehe., lakini zimwage tu., weka aerial view ya google earth ya haya maeneo., leo tuelewane., slums in Kenyan standards means Dar is slum 90%., mimi nikiweka mtapinga, wewe ingia google earth leta areal views tuone leo, 2021..., haya tuende...,
 
Back
Top Bottom