The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Wewe kwnz unajua kingereza? Tuanzie hapo kwanzaTatizo kingereza chao kinatia kinyaa








Wewe kwnz unajua kingereza? Tuanzie hapo kwanzaTatizo kingereza chao kinatia kinyaa










itakuwa inatumia chang'aaHahaha sauti sol wenyewe walivyotua apo T3 walikiri mzigo uko kimataifa zaidi na hao ni wakenya wenye exposure ya kutosha tuWaganda wengi wanaichukulia poa TZ,ila wanapotia mguu wanakutana na kitu tofauti na waambiwavyo na wakunya
Ndio maana nimekuambia kama huelewi mambo ya Uchumi unyamaze. Unajiaibisha bure. Eti unasema katika uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda imeshinda Kenya? Unavuta bangi grade gani? Tukija kwenye suala zima la uchumi wa mtu mmoja mmoja yaani Gni per capita, Mkenya mmoja anapata mapato ya dollar 1,800 kila mwaka ilhali Mganda mmoja anapata mapato chini ya dollar 900 kwa mwaka. Yaani Mkenya mmoja amemdouble Mganda mmoja kwenye Gni per capita. Hii ndio maana Kenya ni lower middle income na Uganda na Rwanda bado ni LDC. By the way Mkenya mmoja ana mapato ya juu kushinda Mtanzania mmoja. Kama hukuwa unajua basi sasa unajua.Sasa kuna utofauti hupi kati ya Kenya na Uganda? Ukitoa mji mkuu wa Nairobi na Kampala ambao ni kweli Kampala bado lkn hio haiondoi ukweli halisi ya kwamba Uganda iko mbele ya Kenya tukiangalia inclusive economy idea.
Waganda huwa hawana njaa kama ambavyo Wakenya wako, na kama tutaangalia miji ukitoa Kampala na Nairobi au tutoe na Mombasa, inabaki kuwa Kenya na Uganda hazina utofauti mkubwa wa kimaendeleo japouwa linapokuja suala la uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda wapo mbali ya Kenya.
Kwa kipato gani?maana kuna walimu wa kikenya wanaofundisha TZ mshahara wao hauzidi usd 300,hivi mtu unaishi vipi ukiwa abroad kwa mshahara wa $300!Ndio maana nimekuambia kama huelewi mambo ya Uchumi unyamaze. Unajiaibisha bure. Eti unasema katika uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda imeshinda Kenya? Unavuta bangi grade gani? Tukija kwenye suala zima la uchumi wa mtu mmoja mmoja yaani Gni per capita, Mkenya mmoja anapata mapato ya dollar 1,800 kila mwaka ilhali Mganda mmoja anapata mapato chini ya dollar 900 kwa mwaka. Yaani Mkenya mmoja amemdouble Mganda mmoja kwenye Gni per capita. Hii ndio maana Kenya ni lower middle income na Uganda na Rwanda bado ni LDC. By the way Mkenya mmoja ana mapato ya juu kushinda Mtanzania mmoja. Kama hukuwa unajua basi sasa unajua.
certamente amico..Wewe kwnz unajua kingereza? Tuanzie hapo kwanza![]()
what's amico? fool! it is "ciertamente amigo"!certamente amico..
e tu?
Walifeli haoKwa kipato gani?maana kuna walimu wa kikenya wanaofundisha TZ mshahara wao hauzidi usd 300,hivi mtu unaishi vipi ukiwa abroad kwa mshahara wa $300!


We unaumwaSasa kuna utofauti hupi kati ya Kenya na Uganda? Ukitoa mji mkuu wa Nairobi na Kampala ambao ni kweli Kampala bado lkn hio haiondoi ukweli halisi ya kwamba Uganda iko mbele ya Kenya tukiangalia inclusive economy idea.
Waganda huwa hawana njaa kama ambavyo Wakenya wako, na kama tutaangalia miji ukitoa Kampala na Nairobi au tutoe na Mombasa, inabaki kuwa Kenya na Uganda hazina utofauti mkubwa wa kimaendeleo japouwa linapokuja suala la uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda wapo mbali ya Kenya.


Huyo jamaa anajua mkenya wa kawaida akipiga misele kw siku anatoka na ngapi, yani sijui akili zao wamezipeleka wapi walai..Ndio maana nimekuambia kama huelewi mambo ya Uchumi unyamaze. Unajiaibisha bure. Eti unasema katika uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda imeshinda Kenya? Unavuta bangi grade gani? Tukija kwenye suala zima la uchumi wa mtu mmoja mmoja yaani Gni per capita, Mkenya mmoja anapata mapato ya dollar 1,800 kila mwaka ilhali Mganda mmoja anapata mapato chini ya dollar 900 kwa mwaka. Yaani Mkenya mmoja amemdouble Mganda mmoja kwenye Gni per capita. Hii ndio maana Kenya ni lower middle income na Uganda na Rwanda bado ni LDC. By the way Mkenya mmoja ana mapato ya juu kushinda Mtanzania mmoja. Kama hukuwa unajua basi sasa unajua.
sisi tutaondoa na mwanza, kahama na mapaka mbeya na tanga, na bado nyinyi mtakuwa mbuzi tu.We unaumwa
Fanya hvo hvo kw tz, toa mombasa na nairobi na nyie mtoe dar tu alafu uone ngoma
Barabara wameshajenga ya buses kuingia?
Hao nao ushuzi wa mbuzi wanataka kusema nn hao, miaka yote wanajua cc ndio baba yao, yn hao ndio wasenge kabisa tunawazd kila kitu.Waganda wengi wanaichukulia poa TZ,ila wanapotia mguu wanakutana na kitu tofauti na waambiwavyo na wakunya
washatandika reli ( upande wa kutokea mpka round about ya goba), Bado upande wa kuingiliaBarabara wameshajenga ya buses kuingia?
Umeshakula?Huyo jamaa anajua mkenya wa kawaida akipiga misele kw siku anatoka na ngapi, yani sijui akili zao wamezipeleka wapi walai..
Tafuta hustler akuomyeshe mpesa statement yake alafu uje unipe marejesho buda..
Mpka unashtuka walai