Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kabla ya Nairobi Terminus kushindana na The mighty Tanzanite sgr station wanatakiwa wapambane na hii kwnz.

Yani tunaendelea kuvunja rekodi zetu wenyewe kila uchwao, the best stations in Africa nowadays are found in Tanzania whether you like it or not
Ila kama naona ranking oder zipo
  1. Mbezi Luis Bus Station
  2. Dar electrical SGR Terminal
  3. Dodoma Bus Station
  4. Nairobi diesel SGR Terminus

Soon...

  1. Mbezi Luis Bus Station
  2. Dar electrical SGR Terminal
  3. Dodoma Bus Station
  4. Mwanza Bus Station
  5. Nairobi diesel SGR Terminus
CC: Tony254
 
Sasa kuna utofauti hupi kati ya Kenya na Uganda? Ukitoa mji mkuu wa Nairobi na Kampala ambao ni kweli Kampala bado lkn hio haiondoi ukweli halisi ya kwamba Uganda iko mbele ya Kenya tukiangalia inclusive economy idea.

Waganda huwa hawana njaa kama ambavyo Wakenya wako, na kama tutaangalia miji ukitoa Kampala na Nairobi au tutoe na Mombasa, inabaki kuwa Kenya na Uganda hazina utofauti mkubwa wa kimaendeleo japouwa linapokuja suala la uchumi wa mtu mmoja mmoja Uganda wapo mbali ya Kenya.
Indeed a Street Hawker reasoning, umejilaani kwa jina
 
Yosef Festo unanililia mm itasaidia nn



Reactions from Tz kwa sababu ya shida na matatizo kutokana na utawala wa CCM, wewe pinga haya kwa kuweka facts ya kukanusha., Pambana na hali yenyu
Screenshot_20210209-232457.jpg

Screenshot_20210210-000023.jpg

Screenshot_20210210-000248.jpg

Screenshot_20210210-000422.jpg

Screenshot_20210210-000440.jpg

Screenshot_20210209-235201.jpg

Screenshot_20210209-235306.jpg

Screenshot_20210209-235236.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210209-235743.jpg
    Screenshot_20210209-235743.jpg
    31.2 KB · Views: 7
Ngoja tuzoom tuone ule ushuzi tunaozungumzia hapa kila siku
Are we together now dirisha la mtu choo cha mwengineView attachment 1706101View attachment 1706102View attachment 1706103
If I go that road in Dar mtaambia mods wani ban humu, mko ovyo yaani aibu yenye haifichiki hata kwa mgeni Dar mara ya kwanza Dar is slum kote kote., in short, technically in Tanzania hakuna standard city kamwe., ni ka squeezed developed area in the CBD na BRT tu ndio zinaficha aibu ya Tanzania
 
Unajua maana ya old town? lishamba lya Dar, mji ulijengwa kabla ya babu ya mababu zako na Vasco Da Gama..,na tume preserve huo muundo, Kiswahili mingi ni laana kweli Mombasa is Dar n Dar is Mombasa period, lakini Mombasa iko nafuu kidogo kwa Dar.,
unaumwa akili wewe.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom