muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Oh mara air Tanzania nini, mara nini. Ona ndege ilivyojaa hiyo
Hapo kuna game mmecheza haiwezekani kampuni ya Kenya kupewa hiyo contract rushwa imetembea🙂Hahaha. Uzuri sio wewe hater wa Kenya unayekaa kwenye tender commitee. Kama ingekuwa ni wewe unayechagua mshindi wa zabuni basi Kengen haingeshinda. Ila uzuri wewe na roho yako mbaya hamtakuwa pale wakati mshindi anachaguliwa.
Siku tatu zilizopita tumeshinda tender ya kuchimba geothermal wells Djibouti. We are a professional country.
![]()
KenGen wins contract to drill three geothermal wells in Djibouti
KenGen has signed a $6m contract with Djiboutian Office of Geothermal Energy Development to drill three geothermal wells in Djibouti.www.esi-africa.com
![]()
KenGen signs contract to drill three geothermal wells in Djibouti
KenGen the largest electric power producer in Kenya has signed US $6.5m contracts to drill three geothermal wells in Djibouti.pumps-africa.com
![]()
Kenya clinches Sh709m contract to drill geothermal wells in Djibouti
Kenya clinches Sh709m contract to drill geothermal wells in Djiboutiwww.standardmedia.co.ke
Ikumbukwe kwamba tumeshinda contract mara mbili tofauti kuchimbia geothermal wells Ethiopia. Tender ya kwanza ilikuwa sh 7 billion miaka mitatu iliyopita na ya pili ilikuwa sh 5 billion mwaka mmoja uliopita. Tunapozungumza sasa hivi Ethiopia anazalisha 7 MW thanks to our expertise. Na soon Ethiopia ataanza kujenga 140 MW geothermal powerplant
Kwa style hii majirani wameingia kwenye andaki zamani wanasubiria kutolewa but it's too late🙂
Hamna hongo yoyote tuliyotoa. Sisi ni experts kwenye geothermal power production. Ethiopia tayari tumeshinda tender mbili kubwa na tuko karibu kushinda ya tatu. Hii ya Djibouti ni tender ya juzi. Iko namna hiiHapo kuna game mmecheza haiwezekani kampuni ya Kenya kupewa hiyo contract rushwa imetembea🙂
evidence of the power produced as a result of ur expertise? 7MW n u dare to yap!?
Hahahaha!!30 coins itoe hapo bana..Top 3 series to watch
Lupin
30 coins
Next
Hiz mi nzuri Sana
Mi sikuipenda mkuu, lkn kajaribu ila next pia iko vizuriNimewatch Lupin. 30 coins iko vipi? Ipo sawa?
Ki ukweli inategemea na preference ya mtu binafsi mfano Mimi na penda mystery,epic, sci-fi history na adventure movies unakuta mwingine anapenda drama/action umeona 🙂30 coins is my number 1 ikifuatwa na lupin alafu next ya mwisho 🙂Hahahaha!!30 coins itoe hapo bana..
Lupin na next zipo level ingine kabisa
Chezea njaa wewe 🤣🤣🤣🤣🤣Ila wakenya bwana huaga awaishi vituko🙂
Kama msomi inabidi utueleweshe jinsi gani electric energy inaweza kugeuka na kuwa white elephant while duniani kwa sasa energy hasa electric energy ndiyo kichocheo kikubwa cha nchi kuwa na uchumi mkubwa mfano China.2,100 MW + 580 MW + 358 MW + 222 MW =![]()
white elephants.
Mi naangalia zote zote lkn pia ku vitu vingine ni vya low budget, ila sisemi km 30 coins iko chini ya viwango lkn kwangu badoKi ukweli inategemea na preference ya mtu binafsi mfano Mimi na penda mystery,epic, sci-fi history na adventure movies unakuta mwingine anapenda drama/action umeona30 coins is my number 1 ikifuatwa na lupin alafu next ya mwisho
![]()
Mara nyingi nikipita pale airport huwa naziona zimeganda pale pale, roho huwa inaniuma sn huwa nadhani napoteza muda wng kusifu kumbe kitu hakiruki, kumbe inawezekana muda ambao naziona pale huwa zinasubiri abiria au?Oh mara air Tanzania nini, mara nini. Ona ndege ilivyojaa hiyo
Tatizo watu wamezoea Hollywood,ikifikia Europe kwa wengi mtihani mfano kuna mshikaji wangu hawezi kucheki movie za UK 🙂Mi naangalia zote zote lkn pia ku vitu vingine ni vya low budget, ila sisemi km 30 coins iko chini ya viwango lkn kwangu bado
Mm nasubiri cku tutaidondosha kenya kwenye GDP ili tuufunge huu uzi.Kwa style hii majirani wameingia kwenye andaki zamani wanasubiria kutolewa but it's too late![]()
Tatizo kingereza chao kinatia kinyaaTatizo watu wamezoea Hollywood,ikifikia Europe kwa wengi mtihani mfano kuna mshikaji wangu hawezi kucheki movie za UK![]()
Ndege kupaki ni kawaida lkn haiwezekani iwe ni asilimia kubwa zinapaki pale JNIAMara nyingi nikipita pale airport huwa naziona zimeganda pale pale, roho huwa inaniuma sn huwa nadhani napoteza muda wng kusifu kumbe kitu hakiruki, kumbe inawezekana muda ambao naziona pale huwa zinasubiri abiria au?
insha'Allah kila safari hatua wakwetu tumetoka mbali kwa speed tunayo kuja nayo kuna uwezekano wa Sisi kuwa level moja na wakina Thailand na Colombia maana wametoka nyuma kama Sisi na saiv wanaelekea 1st world naamini tuna uwezo wa kufanya hivo🙂 patience tu🙂Mm nasubiri cku tutaidondosha kenya kwenye GDP ili tuufunge huu uzi.
Aaah kumbe nimekuelewaTatizo kingereza chao kinatia kinyaa
Kwa haya mambo tunayofanya yanawatia tumbo joto hawa wasenge na ndiyo maana wametafuta excuses wameona ni coronainsha'Allah kila safari hatua wakwetu tumetoka mbali kwa speed tunayo kuja nayo kuna uwezekano wa Sisi kuwa level moja na wakina Thailand na Colombia maana wametoka nyuma kama Sisi na saiv wanaelekea 1st world naamini tuna uwezo wa kufanya hivopatience tu
![]()





