Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

AMREF wana hospitals walizoingia nazo mikataba kibao za Tanzania, Kwahiyo wakisema hivyo ina maana evacuations zote ni kati ya Tanzania na Kenya tu? Na hiyo taarifa haiongelei Tanzania wala Kenya pekee Bali AMREF mission yote
Please spare us your stupidity.

IMG_20210218_000636.jpeg
 
Ndio mara ya kwanza ndege kutoka Kenya kuja Tanzania? Mbona ninyi washamba sana, Aga Khan Hospital za Tanzania na Kenya zina cooperation na hayo ni mambo ya kawaida
Hizo sio ndege za abiria. Hizo ni ndege za AMREF that deals with evacuating covid patients from Tanzania to Kenya.


IMG_20210218_000636.jpeg
 
Naona safari ya Nairobery itakua sooner than expected nikipata mda ntaenda mwenyewe kwenye ground nione miradi Yao imefikia wapiau ni kelele humu ndanikama Barabara zao ziko well maintained au VP tuombe uzima humu ndani mpaka pachimbike namalizia training kwanza
unataka ukawauwe kabisa
 
Yaani baada ya Ku post kuhusu safari yangu nashangaa humu ndani kimyaimeshakua taabu
huwa wanasemaga humu kuwa hatujawahi fika nairobi huwa tunaiona kwa picha tu,,,,

siku ya kwanza kuna chief anaitwa kadoda akawashow kuwa kenya kafika kwa evidence zote,,,
baada ya mda ichiboi naye akapigilia pin za kutosha kwa mombasa na nairobi hadi passport zikaonyeshwa ..

siku nyingine namimi nikawaonyesha hapa,,,,


ila wao wanaishia maneno tu,kwenye hili jukwaa hakuna mkenya hata mmoja ambaye amewahibkufika dar,asilimia kubwa ni waropokaji tu na hawana uwezo wa kuja dar coz maisha yao ni msbovu hawana pesa za matembezi,niwakuishia huko huko walipo
 
huwa wanasemaga humu kuwa hatujawahi fika nairobi huwa tunaiona kwa picha tu,,,,

siku ya kwanza kuna chief anaitwa kadoda akawashow kuwa kenya kafika kwa evidence zote,,,
baada ya mda ichiboi naye akapigilia pin za kutosha kwa mombasa na nairobi hadi passport zikaonyeshwa ..

siku nyingine namimi nikawaonyesha hapa,,,,


ila wao wanaishia maneno tu,kwenye hili jukwaa hakuna mkenya hata mmoja ambaye amewahibkufika dar,asilimia kubwa ni waropokaji tu na hawana uwezo wa kuja dar coz maisha yao ni msbovu hawana pesa za matembezi,niwakuishia huko huko walipo
Kweli Sana mkuu mfano Mimi nimebaatika kutembelea nchi kadhaa hususan afrika hii Kwanza jirani zetu hapa nimefika uvira congo, Bujumbura sehemu inayoitwa kajaga,kigali bugesera cha ajabu Kampala ndo sijafika kwenye nchi za Africa mashariki waulize sasa jirani zetu kama hata wametoka nje ya Nairobi kabisa wakafika hata lodwar au garissa🙂wakiendaga mbali ni Nakuru ,thika,Muranga mpaka Mombasa🙂🙂
 
Kweli Sana mkuu mfano Mimi nimebaatika kutembelea nchi kadhaa hususan afrika hii Kwanza jirani zetu hapa nimefika uvira congo, Bujumbura sehemu inayoitwa kajaga,kigali bugesera cha ajabu Kampala ndo sijafika kwenye nchi za Africa mashariki waulize sasa jirani zetu kama hata wametoka nje ya Nairobi kabisa wakafika hata lodwar au garissawakiendaga mbali ni Nakuru ,thika,Muranga mpaka Mombasa
Akili yako iko sawa kweli? People are traveling to Oslo and yet you are here celebrating about going to Bujumbura.
 
Akili yako iko sawa kweli? People are traveling to Oslo and yet you are here celebrating about going to Bujumbura.
Ehee wakwenda Oslo VP Hali ya hewa huko imekaaje? Kweli mikenya huaga inashangaza Sana🙂 kabla hujanunua gari mtu unaanzia bicycle 🙂
 
Back
Top Bottom