Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good thing kwa Kenya wanajenga asphalt pavement,hii ni uhakika na hata when driving iko confotable tofauti na makokoto makokoto kam roads nyingi za Tzn
Na Tzn ijifunze kuanza kujenga barabara kuu za kuunganisha mikoa na nchi jirani kuwa dual carriage,mambo single carriage yamepitwa na wakati ,basi kama pesa hakuna wajitahidi hata kwenye miji wajenge road kama ile ya Sam Nujoma itapendeza
Labda muanze kujifunza ustaarabu kwanza 🤣🤣🤣👇👇
 
yaani Mwanza jamaa kazungusha camera sehemu moja tu semi circle view., a small thing.., mbona unajitekenya na kucheka bro? ulikunywa nini ama umevuta nini bro? nikama umeganda kichwa aise.,😂😂😂😂.,
Oya we jomba Yosef Festo me nipo mwanza now na naeza kukupa pakulala ili uje utembee ujionee mwanza karibu,hatutaki Tena kelele za kitoto zisizo na msingi
 
Nowadays kila mtu anajifanya expert lakini kile hajui traffic jam on that busy road costed so many billions in a year. So when you factor that in alone makes the project cost justifiable.
Hivi ni kweli kwamba hiyo road mngepambana mjenge wenyewe mngeshindwa mpk mtu anakuja kui own kwa miaka 27?? Na what is the plan wakati huo?? Mtatoka kitahisi??
 
Sio kodi ya kwenu kodi ya wachina mzee usichanganye vitu viwili hapo 🤣🤣🤣 mchina anakusanya pesa kwa miaka 30 anapeleka kwao na ajira zote za express wanachukua wao
13141239_14978388018527440248817262924894053428856147n_jpega3dc8e0621bbe1bb01903da771cca9d9.jpeg

Mchina kodi tutampa kwa miaka 100 ikiwezekana, ukikuuma sana nenda ukazae. Manina
 
Hivi ni kweli kwamba hiyo road mngepambana mjenge wenyewe mngeshindwa mpk mtu anakuja kui own kwa miaka 27?? Na what is the plan wakati huo?? Mtatoka kitahisi??
Barabara kama ile kujenga sio rahisi kama unavyodhania, inataka uzoefu wa hali ya juu sio trial and error.
 
Na Tzn ijifunze kuanza kujenga barabara kuu za kuunganisha mikoa na nchi jirani kuwa dual carriage,mambo single carriage yamepitwa na wakati ,basi kama pesa hakuna wajitahidi hata kwenye miji wajenge road kama ile ya Sam Nujoma itapendeza
Wewe inaonekana hata mipango ya serikali huifahamu...
Kwa taarifa yako Barabara ya kutoka tengeru hadi holili itajengwa kwa njia nne 71km. ..
Kibaha-chalinze 75km njia nane
Dodoma -Singida road 50km dualcarriage way
Dodoma-Kondoa 50km njia nne
Dodoma-iringa 50km njia nne
Dodoma-Morogoro 50km njia nne

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Barabara kama ile kujenga sio rahisi kama unavyodhania, inataka uzoefu wa hali ya juu sio trial and error.
Kwani hata izo rahisi mliwahi kujenga lini?Sikawaida kutoa bid kwa kandarasi za nje. ..Tz inawezaje kugharamia $1.2B kujenga SGR phase 1 na $1.3B kujenga SGR PHASE 5 Nyie mshindwe?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom