Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara kama ile kujenga sio rahisi kama unavyodhania, inataka uzoefu wa hali ya juu sio trial and error.
Anachoulizia hapo nyinyi kutoa pesa wao wakajenga haulizii technology soma swali vzr🤣🤣🤣👇👇👇👇
Hivi ni kweli kwamba hiyo road mngepambana mjenge wenyewe mngeshindwa mpk mtu anakuja kui own kwa miaka 27?? Na what is the plan wakati huo?? Mtatoka kitahisi??
 
Kwani hata izo rahisi mliwahi kujenga lini?Sikawaida kutoa bid kwa kandarasi za nje. ..Tz inawezaje kugharamia $1.2B kujenga SGR phase 1 na $1.3B kujenga SGR PHASE 5 Nyie mshindwe?

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Waweze kwa uchumi gani kwani huo uchumi unanyea debe sasa hvi 🤣🤣🤣 debt to GDP ratio iko 84%
 
The green Kilimani in Nairobi
IMG_2701.JPG
IMG_2715.JPG
IMG_2719.JPG
IMG_2693.JPG
 
Mbona SGR hamukufanya hvo mpaka mukaomba musogezewe mbele🤣🤣🤣 ukubali ukatae mchina anaaakili sana
A country which build its first flyover in 2020 thanks to a grant cant lecture us about infrastructure. Sorry for hurting you
 
A country which build its first flyover in 2020 thanks to a grant cant lecture us about infrastructure. Sorry for hurting you
And a country which build super highway with loan from AFDB ni kitu gani munaweza jenga kwa pesa yenu😅😅😅 mtu anafunga safari kwenda france kwa ajili ya 5km rail loan
 
Back
Top Bottom