Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Machungu wanayo hawa hapa 🤣🤣👇👇
Hao uchungu ruksa kwasababu ni wakenya, wewe mwarabu koko wa lazyland na expressway wapi na wapi. Hizo ni Internal affairs.
Machungu wanayo hawa hapa 🤣🤣👇👇
Ukheukehukhe haya lia sasa mm sina uchungu ila nawacheka vile mchina alivowashika makende ndio maana wenzenu wanatoa mapovu huko twitter🤣🤣🤣🤣Hao uchungu ruksa kwasababu ni wakenya, wewe mwarabu koko wa lazyland na expressway wapi na wapi. Hizo ni Internal affairs.
Tanzania mwaka 2013 imeanza hiyo slogan na klabu ya sunderland kipindi iko ipo epl,sasa rwanda na Tanzania nani kacopy kwa mwenzake?Tanzanians have no brain to think about something like that. You just copied what Rwanda did on Arsenal shirts. "VISIT RWANDA"
Mambo ya kodi ni internal affairs ya nchi, hoja bado itasimama kwamba hamuna barabara kama hio. Makende tushikwe sisi furaha upate wewe.Ukheukehukhe haya lia sasa mm sina uchungu ila nawacheka vile mchina alivowashika makende ndio maana wenzenu wanatoa mapovu huko twitter🤣🤣🤣🤣
Kuna aliye ona jana ndege ya kijeshi ya mizigo ya marekani Globemaster III (C-17) katika uwanja wa ndege wa JNIA?

Naskia wanenda kujenga wabunge hzo shukeKujenga shule Mpya 1026 ni jambo jema sana!!Apo watakua wamesaidia vijana wengi kufuta ujinga na waalimu kupata ajira!!
UnimpressiveView attachment 1702975View attachment 1702976![]()
Keeping Colorado Chill: Gameday Grill-Outs
In Colorado, backcountry adventures and backyard hangouts happen in the same daywww.outsideonline.com
Nchi inajengwa kw kodi zetu, we km unaumia shauri yakoNdio uache kujivunia vitu vya wenyewe,
Hiyo Barabara ni Mali ya China, nyie makapuku u own maybe photos


Uko na ushahidi hapo personal car italipia hyo pesaSo then who will pay 1795ksh per car?? Ikiwa pesa ya milo mitatu ni changamoto![]()
Mumetelekeza siku zote hzo eti leo vile kapona amekua artist wenu...Let our artists collect money from Kunyaland and bring them here.View attachment 1702881
Tax payers money, imekuumaMachungu wanayo hawa hapa




Good thing kwa Kenya wanajenga asphalt pavement,hii ni uhakika na hata when driving iko confotable tofauti na makokoto makokoto kam roads nyingi za TznTurkana inakuja kwa kasi sana.
View attachment 1702823View attachment 1702824View attachment 1702826
Na Tzn ijifunze kuanza kujenga barabara kuu za kuunganisha mikoa na nchi jirani kuwa dual carriage,mambo single carriage yamepitwa na wakati ,basi kama pesa hakuna wajitahidi hata kwenye miji wajenge road kama ile ya Sam Nujoma itapendezaNew Dual carriageways construction in Kenya, Kenol, Sagana, Bungoma, Kakamega, Kisumu, Kisii, Marsabit, Turkana, Wajir, Kitale, Webuye, etc, all this places are going to get dual carriageways
View attachment 1702880
Sio kodi ya kwenu kodi ya wachina mzee usichanganye vitu viwili hapo 🤣🤣🤣 mchina anakusanya pesa kwa miaka 30 anapeleka kwao na ajira zote za express wanachukua waoMambo ya kodi ni internal affairs ya nchi, hoja bado itasimama kwamba hamuna barabara kama hio. Makende tushikwe sisi furaha upate wewe.
Kumbe unajua kua mumeshikwa makende 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mambo ya kodi ni internal affairs ya nchi, hoja bado itasimama kwamba hamuna barabara kama hio. Makende tushikwe sisi furaha upate wewe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 Msikie mwenzio alivokasirikaTax payers money, imekuuma![]()
![]()
Tutalipia kodi we pia ukitaka utalipia, unatamani ingelikua bure na we uje hku uteleze bure.. imekula kwenu wageni..
Tutasaidia mwaka huu![]()
![]()
Mambo ya kodi ni internal affairs ya nchi, hoja bado itasimama kwamba hamuna barabara kama hio. Makende tushikwe sisi furaha upate wewe.
Sio mutalipa kodi sema tutamlipa kodi mchina apeleke kwao kwa muda wa miaka 30 na ajira watakua nazo wachina kwa miaka 30 😆😆😆😆 najua umenielewaTax payers money, imekuuma
Tutalipia kodi we pia ukitaka utalipia, unatamani ingelikua bure na we uje hku uteleze bure.. imekula kwenu wageni..
Tutasaidia mwaka huu![]()