hakuna kazi ngumu duniani kama kua mkenya 😂😂😂😂😂😂😂
Mipango miji wametuharibia sn hili jiji, hawafanyi kazi wao wanawaza mishahara tu, na waziri wa ardhi naye ni jipu lingine ambalo limeiva tangu 2015 lkn limekosa dawa.Wengine wanatafuta slum dar
Ukifika Kibera... Huwezi amini kama binadamu anaweza kuishi hapoSo Kibera is not in Kenya, ok zingine hz hapa, Kenya nzima ni mwendo wa slums yn hakuna mji ukakosa slums in KenyaView attachment 1702311View attachment 1702313View attachment 1702314
Kwn hujui km kibera ndio kimbilio lao, wataenda wapi kwan zaidi ya kw slumsNapenda vile wamebaki wakicompare Dar na kibera slum![]()
![]()
. Ona hata vile paa za hizo nyumba za Kibera zinavyofanana na hizi za dream houses zao View attachment 1702455