Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda watu hawajui tofaut ya roads and streets Najua ushajua nina maanisha nn sasa tafuta street za mombasa za kufikia hadhi hii nakuahidi ukipata nitag mm nifunge acc Capt Richie
What shit is this!!??pole kaka, niruhusu nikucheke tafadhali bro., hauna ata haya kuweka haka ka clip , chunguza adui kikamilifu kabla ya kurusha ngumi, utalialia hadi lini??., Mwanza lazima itakua ni nyumbani so desperate , nimeketi, hadi raha.,
 
Akutag kisa one way street highclass according to mwanza standards
emoji1787.png
emoji1787.png
Swali liko pale pale 👇👇👇👇👇👇
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 swali langu ni rahisi sana naomba nione mombasa streets zenye hadhi hii ukipata just tag me 👇👇👇 usinioneshe roads hata mwanza zimejaa two ways roads

nachotaka kuona streets za mombasa za kufanana hap ukipata mzee nitag
 
What shit is this!!??pole kaka, niruhusu nikucheke tafadhali bro., hauna ata haya kuweka haka ka clip , chunguza adui kikamilifu kabla ya kurusha ngumi, utalialia hadi lini??., Mwanza lazima itakua ni nyumbani so desperate , nimeketi, hadi raha.,
Kaja mzee wa kulia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwenzako kasema hakuna one way streets mombasa yani ananifanya mm kama vile siijui mombasa

Hatutaki kulio nataka majibu ukipata tag me 👇👇👇👇👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 swali langu ni rahisi sana naomba nione mombasa streets zenye hadhi hii ukipata just tag me 👇👇👇 usinioneshe roads hata mwanza zimejaa two ways roads

nachotaka kuona streets za mombasa za kufanana hap ukipata mzee nitag
 
Street za Mwanza from the clip ya ichoboy01 kwa wenye hawana data ama time ya ku watch
Screenshot_20210212-090610.jpg

Screenshot_20210212-090603.jpg

Screenshot_20210212-090519.jpg

Screenshot_20210212-090419.jpg

Screenshot_20210212-090542.jpg

Screenshot_20210212-090528.jpg


Really?., hii ndio utafananisha na Mombasa, uko na wazimu ichoboy01?
 

Attachments

  • Screenshot_20210212-090519.jpg
    Screenshot_20210212-090519.jpg
    33.2 KB · Views: 5
Siku utapata streets za mombasa zenye hadhi hui unitag nifunge acv hata kama unajitia ujinga kwamba huelewi kwangu utaelewa tu
Ungefunga account asubuhi na mapema if u have the balls., mzaha tupu. ichoboy01 utaniua na kicheko bro., punguza jokes asubuhi.,
 
Ungefunga account asubuhi na mapema if u have the balls., mzaha tupu. ichoboy01 utaniua na kicheko bro., punguza jokes asubuhi.,
Kwa kwa kwa kwa kwa kwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 swali halijajibiwa nasubiria mtu atokee aniletee streets kama hzi kwa mombasa akipata anitag nifunge acc jamii forum
 
Back
Top Bottom