komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umeona sasa km wewe ni mwehumkuu kuna mkorogo unaoweza kumkubal mkenya kweli? labda wale machotara wa kikenya na Tz lakin kenyan pure ni mtiti
Umeona sasa km wewe ni mwehumkuu kuna mkorogo unaoweza kumkubal mkenya kweli? labda wale machotara wa kikenya na Tz lakin kenyan pure ni mtiti
Hvi wewe ushazoea kutolipa kodi ushazoea magumashi unafkiri biashara utaiweza?? Kama uhsazoea mzigo wa magendoWaliofunga maduka kwa Hali ngumu walikuwa na madili gani
Zanzibar🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇
Ndio maana hawana ardhi wakenya yani ardhi inamilikiwa na politicians pamoja na investors na baadhi ya matajiri wachache waliobakia wana nyea debe 😅😅😅ase, naivasha dry port iko in Uhuru’s private land
Thibitisha tujue mzungu fala 🤣🤣👇👇 hii ni google earthBahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.
I always imagine hivi Dar mnavuta Oxygen kweli kwa hizo harufu?
DSM JANUARY 2021 Progress Video. Dar-Moro
ahsanteZanzibar🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇View attachment 1699956
hapa ndio huwa wanajua mzungu hakai na mnafiki


.

Vijengo viwili vifupi toka 2011 na bado kuisha?.... imagine Westlands hadi sasa majengo mapia yanatokea kila siku
Old town hyo imeshinda the modern uswazi middle class estate