kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
Ajionee kwanza old Mombasa panavyo fananaSame Nairobi kuna sehemu mingi sana hazipo kwa drone clips zenye nimetqzama na zenye ziko humu., Kwanza Mombasa ndio bado haijawekwa kikamilifu., drones and pictures are restricted sehemu nyingi sana kwa ajili ya security issues., Afrikan Traveller alikamatwa na kunyang'anywa drone yake akijaribu kuchukua drone views za Nyali., Uwezi pata Nyali views yote anywhere mpaka utembee., akina Tudor etc, nakuelewa hapa.
.,






