Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Portuguese/Arabic/Swahili architecture Mombasa(Sehemu ya Old town - 'antique')
View attachment 1699502
Mombasa county govt....
Screenshot_20210210-225420.jpg

Screenshot_20210210-225601.jpg

Screenshot_20210210-225540.jpg
 
Maisha yamekuwa tofauti na zamani hyo ni kweli na anayebisha aje hapa nipambane naye mpk kesho, kiukweli pesa imekuwa ngumu kwa kipindi hiki cha Magu, sisi graduates tuemeamua kufanya dili zingine ili tusiaibike, mm nilimaliza chuo 2018 nipo sijapata kazi mpk ss nafanya michongo yng tu, ila kwakuwa mm nilisomea uchumi wkt nipo advance najua stages za Economics na najua uchumi wa kweli unajengwa vp so japo nafanya mishe zng na nmekosa kuajiliwa lkn cku zote nipo pamoja na Magu cz najua anafanya nn.

Najua anapigania taifa, ila kuna wasenge hususan civil servants wengi wao ni wasenge sn na hawajitambui na ni wabinafsi sana, yn wanakesha wakimkosoa president wkt ukweli wanaujua kwmb president anapambana na nahisi ww ni mmoja wao, nachelea kusema kuwa wewe ni mmoja wao.
Hahahaa!!wabunge wa tz wameanza kujishtukizia..
Sasa sijui huyu ni mpinzani au ni ccm ambae maslahi yake yameguswa
20210211_000857.jpg
 
Maisha yamekuwa tofauti na zamani hyo ni kweli na anayebisha aje hapa nipambane naye mpk kesho, kiukweli pesa imekuwa ngumu kwa kipindi hiki cha Magu, sisi graduates tuemeamua kufanya dili zingine ili tusiaibike, mm nilimaliza chuo 2018 nipo sijapata kazi mpk ss nafanya michongo yng tu, ila kwakuwa mm nilisomea uchumi wkt nipo advance najua stages za Economics na najua uchumi wa kweli unajengwa vp so japo nafanya mishe zng na nmekosa kuajiliwa lkn cku zote nipo pamoja na Magu cz najua anafanya nn.

Najua anapigania taifa, ila kuna wasenge hususan civil servants wengi wao ni wasenge sn na hawajitambui na ni wabinafsi sana, yn wanakesha wakimkosoa president wkt ukweli wanaujua kwmb president anapambana na nahisi ww ni mmoja wao, nachelea kusema kuwa wewe ni mmoja wao.
Kadri nchi inavyopambana kukuza uchumi kw kutumia vichochea uchumi kw hali na mali basi maisha lazima yawe magumu..
Kwhyo muache kuwaita wapiga dili wanaolalama kuhusu ugumu wa maisha mitaani..

Elezaneni mitaani ya kwamba, kuikuza nchi kw high gear lazima mambo mtaani yabadilike
 
Back
Top Bottom