The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ushazoea kuishi kwenye ma slums ndo mana.One of my favourite comedians!
Ukweli na usemwe Tanzania ni mbaya na mbovu sijawahi kuwa proud nayo kabisa.
Ushazoea kuishi kwenye ma slums ndo mana.One of my favourite comedians!
Ukweli na usemwe Tanzania ni mbaya na mbovu sijawahi kuwa proud nayo kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa maoniOne of my favourite comedians!
Ukweli na usemwe Tanzania ni mbaya na mbovu sijawahi kuwa proud nayo kabisa.
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] wewe ni mjinga mmja tuuWewe naomba usije ukani quote tena sawa mkuu? Naomba usini quote cz tutavulugana, naheshimu mchango wako ila kiuhalisia naona wewe hulitakii mema taifa, wewe nahisi ni civil servant uliyezoea vya bure bure.
Mpumbavu tuu huyo jamaa mropokajiHeheheh!!km nilivyosema hapa juzi, jamaa kuna majukwaa hamuyagusi manake unapigwa mbele nyuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeona jamaa katinga hku hku na kukulisha za uso, pole sana mjomba manake sai naona huna hamu nae kabisa umebaki kulialia tu[emoji1787][emoji1787]
Umeulizwa msukuma naye "ufipa"
Huyo msukuma kamaanisha nani kwanza, au ni jiwe lenyewe!!manake umekuja kali
[emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] wewe ni mjinga mmja tuu
Wewe ni Falamanga mmoja tu na usidhani km utajaribu kuharibu huu uzi mama we.Mpumbavu tuu huyo jamaa mropokaji
Bahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.Ushazoea kuishi kwenye ma slums ndo mana.
Nambie mtoto wa slums, hebu niambie unaishi wapi kati ya jehanam hz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji2781]Bahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.
I always imagine hivi Dar mnavuta Oxygen kweli kwa hizo harufu?
Huyo kwenye Avatar ni wewe? Kenya hakunaga wanawake weupe hvyo unless unatumia mkorogo wewe demu [emoji3][emoji3][emoji3]Bahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.
I always imagine hivi Dar mnavuta Oxygen kweli kwa hizo harufu?
mkuu kuna mkorogo unaoweza kumkubal mkenya kweli? labda wale machotara wa kikenya na Tz lakin kenyan pure ni mtitiHuyo kwenye Avatar ni wewe? Kenya hakunaga wanawake weupe hvyo unless unatumia mkorogo wewe demu [emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa huaga wanawaogopa sana ndio manake kila siku wanajofichia hku wakisingizia ya kwamba ya kwamba wana IDs zngneMpumbavu tuu huyo jamaa mropokaji
Si unateseka sana walai[emoji1787][emoji1787]Haka ka mama cjui ni kageni cjui ndo kale kale kajamaa now kamebadili ID? Ila muandiko wake wa kike kike, kanakuja kanabana bana pua oohh cjui nn, pesa za kuhongwa hakuna cku hz wacha kuchuna mabuzi mama wewe tafuta mishe.View attachment 1699805
Mbongo nae eti anaongelea mikorogo[emoji1787][emoji1787]Huyo kwenye Avatar ni wewe? Kenya hakunaga wanawake weupe hvyo unless unatumia mkorogo wewe demu [emoji3][emoji3][emoji3]
KABISA tusipo kuwa makin tutaambiwa sis n wachinainaweza tukawa wachina kabisa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ss naweza nkasema wapo serious, daahhh aisee ngoma inakwenda kuisha hii [emoji122][emoji122][emoji122]
DSM JANUARY 2021 Progress Video. Dar-Moro [emoji91]