Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heheheh!!km nilivyosema hapa juzi, jamaa kuna majukwaa hamuyagusi manake unapigwa mbele nyuma

Umeona jamaa katinga hku hku na kukulisha za uso, pole sana mjomba manake sai naona huna hamu nae kabisa umebaki kulialia tu

Umeulizwa msukuma naye "ufipa"
Huyo msukuma kamaanisha nani kwanza, au ni jiwe lenyewe!!manake umekuja kali
Mpumbavu tuu huyo jamaa mropokaji
 
Ushazoea kuishi kwenye ma slums ndo mana.
Bahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.

I always imagine hivi Dar mnavuta Oxygen kweli kwa hizo harufu?
 
Haka ka mama cjui ni kageni cjui ndo kale kale kajamaa now kamebadili ID? Ila muandiko wake wa kike kike, kanakuja kanabana bana pua oohh cjui nn, pesa za kuhongwa hakuna cku hz wacha kuchuna mabuzi mama wewe tafuta mishe.
Screenshot_20210211-133902.jpg
 
Bahahahaha! Dodoma nayo ni city eti Dar kila sehemu 20 meters away from the road utapata slums kibaoooo.

I always imagine hivi Dar mnavuta Oxygen kweli kwa hizo harufu?
Huyo kwenye Avatar ni wewe? Kenya hakunaga wanawake weupe hvyo unless unatumia mkorogo wewe demu
 
Haka ka mama cjui ni kageni cjui ndo kale kale kajamaa now kamebadili ID? Ila muandiko wake wa kike kike, kanakuja kanabana bana pua oohh cjui nn, pesa za kuhongwa hakuna cku hz wacha kuchuna mabuzi mama wewe tafuta mishe.View attachment 1699805
Si unateseka sana walai
Mi huaga napenda sana mkila vitasa kutoka kw wenzenu..

Acha nione km hili cinema litafikia wapi
 
Back
Top Bottom