Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Walikuonesha hayo matope

Jamii forums bhn atari sn, eti kkoo kuna nyumba za tope alafu wazungu wasione
Kwhyo mpaka waone wazungu, ona ulivyokua mpuuzi..hata nimekusonya kw dharau haswa..

Yani hao mabeberu mnaowakejeli leo imekua mpka waseme wao ndio uwaamini, nenda kapinge na data kutoka kwa hao wazungu basi huenda waka kuamini
 
Nilikuwa namaanisha satelite zao zinazoimulika Nairobi iliyojaa slums,

Hawa bila kuwatajia mzungu hawakuelewi hawa mafala
Kariakoo ina nyumba za tope, watanzania wenzako ndio wamesema..
Sasa na wewe nenda ukabishe..
Mnko hko nawasubiria mje na hyo satelite
 
hiyo chat nishaisoma yote,mambo hayo ni ya kawaida hata kenya huko yapo kila mtu ana mtazamo wake na anauhuru wa kuongea anachokihisi ama kukiona,,,

hapa duniani miji yeyote ile kabla ya kukua na baada nikimaanisha kurise kwa buildings kulikuwa na makazi kongwe hivyo kadri mji unavyokuwa ndipo makazi kongwe hupotea na hii yote baada ya watu kuamua kuwekeza kwenye hayo maeneo...

kwa kariakoo kuna nyumba za chini nikimaanisha makazi kongwe tena ni chache sana hazifiki na hazizidi hata 20 kimakadilio na maeneo hayo mengi yashauzwa wanaoishi wanangojea tu mnunuzi aanze ujenzi ndiyo watoke na ndiyo maana hawayaendelezi ila si nyumba za udongo kama wasemavyo hao jamaa,nyumba za udongo zilikuwa zamani sana..
Yosef Festo jamaa huku keshasema km hzo nyumba zipo lkn zimeshauzwa zinasubiria zibomolewe painuliwe maghorofa na hazifiki 20..

Mshike vizuri huyu nkm ako na data zote za nyumba za tope dar
 
Tanzania kuanza kuuza umeme Uganda, Rwanda na Burundi.
Speed tunayoenda nayo ni kali sana
Screenshot_20210210-145521.png
 
Yosef Festo jamaa huku keshasema km hzo nyumba zipo lkn zimeshauzwa zinasubiria zibomolewe painuliwe maghorofa na hazifiki 20..

Mshike vizuri huyu nkm ako na data zote za nyumba za tope dar
hata nilichokiandika haujaelewa,wewe siyo muelewa unapenda mda wote ujaji mambo kimihemko...
hao wanaosema kuwa kuna nyumba za tope wangekuwekea evidence au fuata ile thread waambie wakutumie nyumba hata moja ya tope,,,we karne ujenge nyumba ya tope tena city center inakuingia akilini.....
karikaoo zimebakia nyumba za chini tena nichache tu,,,,.na si za udongo hayo maisha yalishatoka mda mrefu

nyumba ya matope hapo inatokea wapi au zipo ndani ya ghorofa
images%20(4).jpg
images.jpg
 

Attachments

  • images (4).jpg
    images (4).jpg
    77.5 KB · Views: 7
hata nilichokiandika haujaelewa,wewe siyo muelewa unapenda mda wote ujaji mambo kimihemko...
hao wanaosema kuwa kuna nyumba za tope wangekuwekea evidence au fuata ile thread waambie wakutumie nyumba hata moja ya tope,,,we karne ujenge nyumba ya tope tena city center inakuingia akilini.....
karikaoo zimebakia nyumba za chini tena nichache tu,,,,.na si za udongo hayo maisha yalishatoka mda mrefu

nyumba ya matope hapo inatokea wapi au zipo ndani ya ghorofaView attachment 1699181View attachment 1699182
Umemaliza mada mkuu🙂
 
Vipi kuhusu kazi kama umeshindwa sema Mzee. Brian unadhani sisi ni mbumbumbu kama nyie!?
😂 😂😂 yaani sisi tunaongelea 6000MW wewe unatuletea 50Mw upo sawa kweli kichwani!?
That is clean energy there is a difference
 
Back
Top Bottom