Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa matusi ya nini una edit my response ndio ufaidike vipi? Unaumwa kweli, umeshindwa kabisa, hauna lolote, ona unavyojiaibisha? wewe ni aibu kwa wazazi wako na among the right thinking citizens wa tanzania., Ukikosa jibu kwa hoja fyata ama pita kimya kimya., Unateseka kweli, pole wacha kulia lia ,
Ccm akishindwa na hoja lazima atukane
Lkn umejua kuwakera jamani
 
Hiyo ni dalili ya kushindwa. Wameishia cha kuongea sasa anataka kuharibu thread. Hiyo ndiyo njia pekee kwa sasa wamebaki nayo. Wewe subiri nitamnyoosha.
Ameamua kuharibu thread ama ameamua kuleta mtazamo kutoka kw watu tofauti na wale wanenguaji
 
I wish unge pick some of the responses yenye facts kisha ukakanusha na facts against what they alleged., anyway I know your reasoning kabisaa, hapa hamuwezi dhubutu, u can't fight and win against facts. Tuendelee na Nai vs Dar tu.,,.,
Wambie wakapinge km uongo
Juzi nilisema hapa kuna majukwaa hapa jf huaga wanayakwepa..kwa sababu wakijichanganya tu wanakula za uso
 
Ccm akishindwa na hoja lazima atukane
Lkn umejua kuwakera jamani
Sifanyi hivyo kimaksudi, mimi naleta ukweli roho safi ili watu wajadili lakini wanakwepa na vijisababu uchwara, I only try to expose their skewed reasoning tu, and lies. Unaona wanavyo lia lia wakikosa jibu,., Anyway tirudishe uzi wa Annael ulivyo kua pale mwanzo, siku hizi naona ni Emc2.,
 
say no more bitch...
Bitch ni wewe mwenye mtazamo finyu sana,, , a nice taken photo gives u orgasm? u conclude on an angle tu?, low IQ on display humu, you guys grow up, ukweli that has been exposed kuhusu hii Mwanza imewatesa deadly ,
 
haha majamaa wa propaganda huwezi wapata huko
Wambie wakapinge km uongo
Juzi nilisema hapa kuna majukwaa hapa jf huaga wanayakwepa..kwa sababu wakijichanganya tu wanakula za uso
Naona hii battle sasa imeanza kuwatoa kamasi 🤣🤣🤣 kama battle imeashinda muache tu kwa amani hakuna mtu atawalazmisha au mushaona kwamba huu mwaka ni mbaya sana kwenu baada ya kuskia electric modern bullet train ziko kwenye maji sasa hvi 😂😂😂😂😂😂
 
Naona hii battle sasa imeanza kuwatoa kamasi kama battle imeashinda muache tu kwa amani hakuna mtu atawalazmisha au mushaona kwamba huu mwaka ni mbaya sana kwenu baada ya kuskia electric modern bullet train ziko kwenye maji sasa hvi
Hukuambiwa utete, nenda ukawapinge kw hoja km imekuuma
 
Back
Top Bottom