komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Jamani, yamekua hayo tena wakati we ndio umesema wanaoishi wanasubiria mda ufike ndio watolewe..hata nilichokiandika haujaelewa,wewe siyo muelewa unapenda mda wote ujaji mambo kimihemko...
hao wanaosema kuwa kuna nyumba za tope wangekuwekea evidence au fuata ile thread waambie wakutumie nyumba hata moja ya tope,,,we karne ujenge nyumba ya tope tena city center inakuingia akilini.....
karikaoo zimebakia nyumba za chini tena nichache tu,,,,.na si za udongo hayo maisha yalishatoka mda mrefu
nyumba ya matope hapo inatokea wapi au zipo ndani ya ghorofaView attachment 1699181View attachment 1699182
Au ndio unataka kutengua kauli yako, si mbaya pia
