Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

...drone views mingi mumezifinya sana, kwa wale hawaijui Dar hawatafahamu hilo, the bigger part is embarrassing sana, ata kwa mgeni mara ya kwanza akifika Dar hilo liko too visible, hautafuti unaona tu hali ilivyo, Dodoma ikiendelea na miundo mbinu ambazo wanafauta itawaondolea aibu, Kama vile Abuja in Nigeria, iko tofauti sana ukilinganisha na Lagos, Nairobi slums zimejificha ukiingia mara ya kwanza hauwezi jua wazi wazi, lazima utafute ama uulize. Hapa kwetu pia kwenye cinema na mziki Kuna za Kibera na za sehemu uswazi mingi tu., but Dar is on a world of its own.
usijidanganye na unakosea,nimekutolea mfano halisi chukua mda wako ingia kwenye bongo movies au music video s za kibongo kisha type nyimbo yeyote ya uswazi ,,halafu uniambie ni kipi tumeficha.....?

kuhusu drone hakuna kilichofinywa kila shooter anachukua eneo kulingana na plan na maamuzi yake ndiyo maana unaona kuna drone view zinazoonyesha maeneo mazuri na mchukuaji mwingine drone view yake unakuta inapitia uswazi kwanza Tz hatukuwa na utaratibu wa kuchukua view ya jiji/majiji watu wameanza kuchukua majuzi juzi tu ,tofauti na nyie jiji lenu mlishalichukua view nyingi tokea mda,na isitoshe mpaka hapa tunapochat kuna area kubwa sana ya dar hakuna photo na video view zake....pia mnavyoichukulia dar ni tofauti tembeeni ,,,japo kuna sehemu amvazo zimeharibika kimipango miji si kila sehemu ipo sawa
 
kariakoo kwa sasa hakuna nyumba za tope,,halafu neno wazungu tulitoe mkuu,,,,tusichukulie kila kitu ni mzungu....


hapo si sawa mkuu
Wenzanko wanakanusha., hawa itakua wanadanganya mkuu., fafanua zaidi., mimi ni macho tu hapa..,
Screenshot_20210209-223535.jpg

Screenshot_20210209-222952.jpg

Screenshot_20210209-223314.jpg

Screenshot_20210209-223448.jpg

Screenshot_20210209-223253.jpg

Screenshot_20210209-223559.jpg
 
Platinum Group Metals found in Tanzania

(PGMs – platinum, palladium, rhodium, rhenium,
osmium and iridium).
Occurrence of these minerals are in layered mafic igneous intrusives such as
gabbros and anorthosites; ultramafic rocks such as peridotite, dunite and
serpentine. It involves concentration of molten sulfide droplets or oxide crystals
in mafic or ultramafic magma.

Localities are Kabanga, Kapalagulu and Zanzui. Others are Kabulyanwele,
Mwahanza Hill, Garauja-Basuto, Twamba, Nkenza, Itiso, Haneti and Uluguru
Mts.
 
unakosea,nimekutolea mfano halisi chukua mda wako ingia kwenye bongo movies au music video s za kibongo kisha type nyimbo yeyote ya uswazi ,,halafu uniambie ni kipi tumeficha.....?

kuhusu drone kwanza Tz hatukuwa na utamaduni wa kuchukua view ya jiji/majiji watu wameanza kuchukua majuzi juzi tu ,tofauti na nyie jiji lenu mlishalichukua view nyingi tokea mda,na isitoshe mpaka hapa tunapochat kuna area kubwa sana ya dar hakuna photo na video view zake....pia mnavyoichukulia dar ni tofauti tembeeni ,,,japo kuna sehemu amvazo zimeharibika kimipango miji si kila sehemu ipo sawa
Achana naye huyo. Lengo lake ni kuharibu thread hii.
 
unakosea,nimekutolea mfano halisi chukua mda wako ingia kwenye bongo movies au music video s za kibongo kisha type nyimbo yeyote ya uswazi ,,halafu uniambie ni kipi tumeficha.....?

kuhusu drone kwanza Tz hatukuwa na utamaduni wa kuchukua view ya jiji/majiji watu wameanza kuchukua majuzi juzi tu ,tofauti na nyie jiji lenu mlishalichukua view nyingi tokea mda,na isitoshe mpaka hapa tunapochat kuna area kubwa sana ya dar hakuna photo na video view zake....pia mnavyoichukulia dar ni tofauti tembeeni ,,,japo kuna sehemu amvazo zimeharibika kimipango miji si kila sehemu ipo sawa
Same Nairobi kuna sehemu mingi sana hazipo kwa drone clips zenye nimetqzama na zenye ziko humu., Kwanza Mombasa ndio bado haijawekwa kikamilifu., drones and pictures are restricted sehemu nyingi sana kwa ajili ya security issues., Afrikan Traveller alikamatwa na kunyang'anywa drone yake akijaribu kuchukua drone views za Nyali., Uwezi pata Nyali views yote anywhere mpaka utembee., akina Tudor etc, nakuelewa hapa.
 
Tanzania is one of Africa’s most mineral-rich countries, with minerals such as
precious metals (gold and silver), iron ore, base metals (copper, nickel, cobalt,
tin, lead,) Platinum Group Metals (PGM), Rare Earth Elements (REE), coal,
uranium; diamonds, varieties of coloured gemstones (tanzanite, ruby, sapphire,
tsavorite, rhodolite, tourmaline,) and industrial minerals (limestone, kaolin,
kyanite, magnesite, phosphate, gypsum). There are also naturally occurring
resources such as ground water; carbon dioxide and helium gas; geothermal
energy; and natural gas.
 
Achana naye huyo. Lengo lake ni kuharibu thread hii.
Kufa peke yako idiot, usilazimishe wenzako kua kama wewe., Thread ni about Dar vs Nai, wewe una post Dar vs Nai issues kwa sasa? lione lishamba lya mwaka
 
Wenzanko wanakanusha., hawa itakua wanadanganya mkuu., fafanua zaidi., mimi ni macho tu hapa..,
View attachment 1699090
View attachment 1699085
View attachment 1699089
View attachment 1699088
View attachment 1699086
View attachment 1699087
hiyo chat nishaisoma yote,mambo hayo ni ya kawaida hata kenya huko yapo kila mtu ana mtazamo wake na anauhuru wa kuongea anachokihisi ama kukiona,,,

hapa duniani miji yeyote ile kabla ya kukua na baada nikimaanisha kurise kwa buildings kulikuwa na makazi kongwe hivyo kadri mji unavyokuwa ndipo makazi kongwe hupotea na hii yote baada ya watu kuamua kuwekeza kwenye hayo maeneo...

kwa kariakoo kuna nyumba za chini nikimaanisha makazi kongwe tena ni chache sana hazifiki na hazizidi hata 20 kimakadilio na maeneo hayo mengi yashauzwa wanaoishi wanangojea tu mnunuzi aanze ujenzi ndiyo watoke na ndiyo maana hawayaendelezi ila si nyumba za udongo kama wasemavyo hao jamaa,nyumba za udongo zilikuwa zamani sana..
 
Usisahau neno swahili limetokana na kiarabu, yani sawahil maana yake watu wa pwani.. unaposema "mimi ni mswahili" ujue unamaanisha wewe ni mtu wa pwani..

Kwhyo usitake kutulisha matangopori hapa , au unataka kutuhakikishia km watanzania wote ni watu wa pwani kizere geza?
captown ni pwani ya SA nadhani na wao ni waswahili wa SA
 
Same Nairobi kuna sehemu mingi sana hazipo kwa drone clips zenye nimetqzama na zenye ziko humu., Kwanza Mombasa ndio bado haijawekwa kikamilifu., drones and pictures are restricted sehemu nyingi sana kwa ajili ya security issues., Afrikan Traveller alikamatwa na kunyang'anywa drone yake akijaribu kuchukua drone views za Nyali., Uwezi pata Nyali views yote anywhere mpaka utembee., akina Tudor etc, nakuelewa hapa.
iko hivyo,kwa upande wetu hata hiyo city center ya dar unayoiona picha zimeanza miaka ya juzi juzi tu,,,,,
.
ndiyo maana hata thread wakati inaanzishwa asilimia kubwa ya sisi tulio dar tulikuwa tunapata tabu sana kujibu picha,,,,sababu zilikuwa hazipo ,mpaka watu wengine tukaamua kupiga picha wenyewe kupitia simu zetu tunapokuwa tunapita maeneo tofauti tofauti ila mwisho wa siku picha inakuwa si ya viwango.
 
hiyo chat nishaisoma yote,mambo hayo ni ya kawaida hata kenya huko yapo kila mtu ana mtazamo wake na anauhuru wa kuongea anachokihisi ama kukiona,,,

hapa duniani miji yeyote ile kabla ya kukua na baada nikimaanisha kurise kwa buildings kulikuwa na makazi kongwe hivyo kadri mji unavyokuwa ndipo makazi kongwe hupotea na hii yote baada ya watu kuamua kuwekeza kwenye hayo maeneo...

kwa kariakoo kuna nyumba za chini nikimaanisha makazi kongwe tena ni chache sana hazifiki na hazizidi hata 20 kimakadilio na maeneo hayo mengi yashauzwa wanaoishi wanangojea tu mnunuzi aanze ujenzi ndiyo watoke na ndiyo maana hawayaendelezi ila si nyumba za udongo kama wasemavyo hao jamaa,nyumba za udongo zilikuwa zamani sana..
Thank you for your response. Maoni yako yanakubalika tu. Respect man.,
 
Back
Top Bottom