Hizi maana zote za funga hakuna hata moja inayohusu satellite kufungwa angani. Wewe unadhani rocket ikishafika angani na ianze kuzunguka dunia halafu iwachilie satellite halafu satellite hio ianze kuzunguka dunia hicho ni kitendo gani kama sio kurusha?
Tazama hapa
youtube ujionee, let the videos do the talking., kisha uje utoe ushuhuda.,Mbona barabara zenu hazina mistali, na hamna njia za waenda kwa miguu cc: komora096 View attachment 1697453
Kama kumfunza mcongo kilingala🙂Hvi wewe unaeza mfundisha mtanzania kiswahili???😀😀😀😀😀
Ona ya Mombasa(not the construction but roads kwa hii clip), pia mimi pengine sioni "mistali"., ama unamaanisha mistari?..,Mbona barabara zenu hazina mistali, na hamna njia za waenda kwa miguu cc: komora096 View attachment 1697453
Alaa!!kwhyo unakataa km hapa ndio mnapata unafuu lkn kuke kwngine huaga mnakula za uso..Battle imekushinda!?
Hicho kitendo cha kuifanya satellite kiwe imara ndio Neno funga/Bana nisawa nakusema mtu alichana mbuga hii ina maana zaidi ya moja🙂Satellite zikiingia kwenye orbit zitafungwa na kamba? Au zitafungwa angani na boriti na spana? Utafungaje satellite kwenye orbit?
Timu za kenya usizijue, subututunawatawala kijamiiet bado unashangaa kwa nini ligiyetu ni kubwa?
mie mbona sjui hata mchezaji 1 wa ligi yenu achilia mbali team zenu?


na huku bado tunawabana with facts, wao wakijitetea na porojo kwa wingi, some from blogs uchwara na kiswahili mingi tu, nimejifunza misamiati kadhaa humu😂😂 😂 😂 😂Alaa!!kwhyo unakataa km hapa ndio mnapata unafuu lkn kuke kwngine huaga mnakula za uso..
Yani mnakuja exile huku
Hujanielewayoutube ujionee, let the videos do the talking., kisha uje utoe ushuhuda.,
Hii imekaa vizuri kwa kweli kiwango cha World class Barabara za hivi bongo tu😀subiri ntapiga picha za finishing za intercharges Nairobi tucheke kidogo 🙂Majirani kuna Jambo la kujifunza kwenye finishing ya hizi interchange/flyoversView attachment 1697450
panapendeza, have seen. good work, hakuna porojo.Majirani kuna Jambo la kujifunza kwenye finishing ya hizi interchange/flyoversView attachment 1697450
yaani ile bado iko under construction almost looking better than a complete one 😂 😂 😂 , be patient ikwishe kisha ufananishe ama utofautishe., kua mpole chief CCM propagandist.
Asante kwa uchungu siku nyingine ukija uje na heshima 😀😀😀 CCM achana nayo itakutoa nyongo bure alaf we bado kijana mdogo pambana na umaskini pambana na ugumu wa maisha kwa sasa 😅😅😅😅thank you very much., na usiongeze maneno yako from now onwards video zinajieleza tu., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 umenifurahisha sana., Tanzania.,
Wacha Mombasa ijitetee kwa video clip, maneno yako ni maoni yako., let the people see for themselves kama ulivyo weka clips za Mwanza., hakuna cha kiswahili na porojo hapa., let the videos do the talking bro., nimewacha pia Mwanza clips zijielezee.,
Nasema mombasa ikitoka hapa nitag mm nifunge acc jamii forum hakuna porojo wala mama yake 👇👇👇👇👇😁😁😁😁😁
Sikujua kama kenya mna madini ya chuma. What's make you to think ndio kiwanda cha kwanza ukanda huu? Kina kiwango gani hicho kiwanda kiuzalishaji?Hichi kiwanda cha chuma will be the first and only plant is Africa that processes raw iron ore into finished product steel. Kenya will no longer be importing steel. Ni kiwanda kikubwa hichi na hata kimejenga power plant yake kando.
Cc Geza Ulole
Confirmed? Nilidhani tenda itatangazwa May au June mwaka huu. Kumbe kitu tayari!